mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Huyu mpiga picha ndio yule walisema alikatwa na panga boi la head/ helii copterMwalimu Nyerere akiwa na mpiga picha wake Ikulu DarView attachment 2263379
Ila hizi suti za mwendazake bana duh
What a wonderful world by thenLouis Armstrong akiwa jijini DSM, 1960View attachment 2264406
Njama vs hofuHizi ni riwaya za marehemu musiba na star wetu ni Willy Gamba
Je riwaya gani unaikubali katika hizo ambayo star wetu alicheza vizuri sana?
Mimi ni kufa na kupona Je wewe?
Sababu gani ukapenda riwaya hiyo?
Wahenga mnasemaje kuhusu riwaya hiyoView attachment 2266606
Huyu jamaa Yuko wapi?
This legend of wonderful World ever set in Tz? Never knew this. ThanksLouis Armstrong akiwa jijini DSM, 1960View attachment 2264406