JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Uzi mzur

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Anaitwa Céline Dion Amezaliwa Charlemagne,Quebec"Canada Mwaka 1968 Ni Mwimbaji Na Mtunzi Wa Nyimbo Mashuhuri Za Pop Kutoka Nchini Canada Alianza Kuimba Mnamo Mwaka 1980 Anatunzo 243
World's Best Female Artist, Best Live Act World's Best Entertainer of the Year "World's Best Song N.k
Kwasasa Anasumbuliwa Na Kansa.
 
Ila nakumbuka jina la muuaji huyo lilikuwa Isaak Njenga Njoroge.
 
Kuna kampuni zamani ilikuwepo ilikuwa inaleta vifaa mbalimbali toka UK ilikuwa inaitwa saida tujenge chetu,walikuwa wanaleta vitu quality

Ova
Hao walikuwa ni STC kwa kirefu State Trading Corporation na walitumia hili la Saidia Tujenge Chetu kama kaulimbiu yao ya biashara. Ni moja ya Mashirika ya awali Sana ya Umma baada ya Azimio la Arusha.
 
Haya mambo yalikuwa yanaleta ubishi sana kwa wapiga Kura. Badala ya kuchagua mtu wapo waliochagua ama picha ya nyumba au jembe. Wengi wa huko vijijini walipendelea jembe kwani maisha Yao yalitegemea hilo. Wa mijini tukachagua nyumba kwani maisha bila nyumba mijini ilikuwa balaa. Baadae tukaletewa picha za kuku na yai. Tatizo likabaki palepale. Watu wakiulizana kuwa kati ya yai na kuku nani kamzaa mwenzie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…