Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Winnie? Mandela?
Hapana bro
Janet Kaguta
Mke wa Museveni [emoji23]
Enzi zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Winnie? Mandela?
Mzee naye anapumzika pazuri!!!Hapana bro
Janet Kaguta
Mke wa Museveni [emoji23]
Enzi zake
Anaitwa Céline Dion Amezaliwa Charlemagne,Quebec"Canada Mwaka 1968 Ni Mwimbaji Na Mtunzi Wa Nyimbo Mashuhuri Za Pop Kutoka Nchini Canada Alianza Kuimba Mnamo Mwaka 1980 Anatunzo 243
Nilikuwepo uwanjani siku hiyo. Furaha yetu iliingia dosari kidogo.View attachment 1524386
1979 ndege ya Jeshi iliyopata ajali katika maonyesho uwanja wa Taifa baada ya vita ya kagera
View attachment 1524389View attachment 1524390
Mnara wa Kumbukumbu ya Cpt Said Karama na Cpt Aballah Kikunda mahali ndege hio ilipoanguka
Hii imenikumbusha Wimbo wa Kifo cha Penzi. Heri nife kwa kupondwa na basi la gorofa la kwenda Ilala.
Usimsahau na Martin Shikuku, Joshua Mwangi Kariuki.+254 wapo vizuri kwenye mambo ya kutangulizana kwa nguvu RIP Prof Saitoti and John Michuki
Hiyo indicator nyekundu, miaka ya 1990 ilikuwa inauzwa sh. 500Gari ya Heshima Sana kuanzia 1960-1990 Land Rover(109).View attachment 2068226
Ila nakumbuka jina la muuaji huyo lilikuwa Isaak Njenga Njoroge.George Justus Morara. Alizaliwa 1936. Alichaguliwa kama mbunge wa Mugirango Magaribi na raia wa sehemu hiyo 1969. Kwa wakati huo alikua mbunge mwenye umri mdogo kwa wabunge wote waliochaguliwa.
Ni miongoni wa walio faidika na programme ya Mboya kuelekea kusoma ulaya. Morara ni miongoni wa wale waliohuzunishwa na Kifo ya mboya.
Mwaka wa 1970 inasemekana alizuru nchi ya Zambia na alipokua Lusaka, alikutana ana kwa ana na Nahashon Njenga aliyempiga Tom Mboya risasi na kumuua. Aliporudi Kenya alisema bila uoga kuwa Nahashon Njenga hakunyongwa kama vile mahakama iliamuru na serikali ilimtorosha Zambia. Aliipa serikali muda wa Masaa 48 Nahashon akaletwe Kenya akahukumiwe. Siku iliyofuata alizuru Mji wa Kakamega ulioko eneo ya Magaribi mwa Kenya. Alipokua kwa gari akirudi nyumbani kwake Mugirango, gari Lake iligongwa na gari ya polisi ya kenya ikiegemea mahali alipokua ameketi. Alikufia papohapo.
Wengi huona hii Nyota ingine kuu ilizimwa na serikali.View attachment 2054009
Nimekumbuka mbali sana. Tarehe 7/7/1974 siku ya Jumapili. Tulipiga halaiki ya kufa mtu maeneo ya Pansiasi kule Kwanza kusheherekea miaka 20 ya kuzaliwa TANU.1974 calendarView attachment 2054045
Hao walikuwa ni STC kwa kirefu State Trading Corporation na walitumia hili la Saidia Tujenge Chetu kama kaulimbiu yao ya biashara. Ni moja ya Mashirika ya awali Sana ya Umma baada ya Azimio la Arusha.Kuna kampuni zamani ilikuwepo ilikuwa inaleta vifaa mbalimbali toka UK ilikuwa inaitwa saida tujenge chetu,walikuwa wanaleta vitu quality
Ova
Katoka mbali sanaView attachment 2047991manara akiwa madrasa
Sana, na lile sakata la ajali ya kugonga mtu.
Haya mambo yalikuwa yanaleta ubishi sana kwa wapiga Kura. Badala ya kuchagua mtu wapo waliochagua ama picha ya nyumba au jembe. Wengi wa huko vijijini walipendelea jembe kwani maisha Yao yalitegemea hilo. Wa mijini tukachagua nyumba kwani maisha bila nyumba mijini ilikuwa balaa. Baadae tukaletewa picha za kuku na yai. Tatizo likabaki palepale. Watu wakiulizana kuwa kati ya yai na kuku nani kamzaa mwenzie?