Nyalumana originally
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 421
- 1,367
Bado na hii ni mulemule[emoji23][emoji23]View attachment 2335343Raisi wa kenya akiwa na umri wa miaka mitatu
Paula alivyokuwa kinda alikuwa producer mtupu
Muuza kuku.Alikotoka Ruto
😂😂😂Muuza kuku.
Ganda la muwa la jana chungu kaona sega la asali. Kuzaliwa mjini raha sana
huyu ndio ka R.I.P?
Kipindi nchi Ina heshima na adabu, mkuu kama una picha ya DDC Mlimani park pls post humu,sikinde ya 80s to 2000Hapo zamani za kale
Washirika Tanzania STARS
WATUNJATANJATA
Mharami Seseme
Hamisi Mnyupe
Abdul Salvador
Said Makelele
Nurdin Makimu
Tabu Mambosasa
DaaaahView attachment 2351782