Picha ya kumbukumbu
Hii ilikuwa mashindano ya afrika mashariki na kati mwaka 1991
Aliyetangulia ni refa wa kimataifa enzi zile Juma Ally David toka zanzibar
Anayefata ni ZAMOYONI MOGELLA
Mwingine huyo ndogo ni MOHAMEDI DEWJI ukipenda MO DEWJI
Mwingine marehemu MAKENZI RAMADHANI
Tbt
Kutoka kushoto anaitwa MASOUD MASOUD AU DJ NEAGGER JAY
Katikati marehemu SHABANI SATTO (SHEBBY B-alikuwa katibu wa chama cha muziki wa disco tanzania
Kulia marehemu JOHNSON KALIKAWE (dj kalikali)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.