[emoji1][emoji1][emoji1]you made my day
Magari ya zamani yalikuwa magumu sana
Wakati si mileleHahahaaa mzee wa kuchanganya mistari ya Biblia na Quran
Saivi amekuwa kipofu kwa uzee nasikia daah wakati ni ukuta
Nilimfahamu akiwa RC Kigoma mwamba kweli kweli saivi kabakia maneno tu. Mungu ampe nafuu[emoji1488][emoji1488]
Maelezo ya hapa pls kama hutajali kaka
We had a very beautiful before then and by then...