JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Hii picha siiamaini kwani mwaka 1992 nilikuwa Sydney Austrailia mwaka mzima kabla sijaenda New Zealand. Kipindi hicho chote sikuwahi kukosa matamasha yote yanayotoka Afrika: Oliver Mutukuzi, Lucky Dube, Bhundu Boys, Kanda Bongo Man, pamoja na Mbilia Beli aliyekuja pamoja na bwana yake mdogo sana akiitwa Rigo Star. Super Matimila hakutinga Sydney mwaka huo, na hivyo nina wasiwasi kama kweli alitinga Australia kwani Sydney ndicho kilikuwa kitovu cha mastarehe wakati huo kiasi kuwa kila mwanamuziki wa kiafrika angependa kuperform pale Bondi au Randwick au Sydney North Harbour.
 
Fitina nyingi za nini wana ngoma wenzanguu mwataka nifanye nini
Niwarejee wenzangu kila nikiwasihi
Wote wana nia mbaya
Bora niwe peke yanguu
Kuliko kuwa na wabayaa ( Dar Jazz Band ) majini wa bahari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…