BAND:_Orchestra Mlimani park.
WIMBO_Nalala kwa tabu, (1981).
MTUNZI:_ Cosmas Chidumule.
WAIMBAJI:_ Gurumo, Bichuka, Hamisi Juma.
SOLO GITAA:_ Joseph Mulenga.
RIZIM GITAA:_Abdalha Gama.
BASS GITAA:_Selemani Mwanyiro.
TUMBA:_ Ally Jamwaka.
DRUMS:_ Abibu Jeff.
SAXOPHONE:_ King Michael Enoch.
TANNER SAXOPHONE:_ Juma Town, na Yusuph Bernard.
TRUMPET:_Machaku Salum, Ibrahim Mwichande, na Bornfasy Charles.
MASHAIRI YAKE:
Mwenzenuuu, usiku huwa silali, natesekaa usingizi kweli sipati nabaki nahangaiikaaaa.....
Kuyasema yoteee, ninayaoona siweziii, yasije yakaletaaa udadisi kwa watu bureeee.....
Shahidi yangu ni mama watotooo, yeyee anajuaaa...kwani huwa uniona ninavyo angaikaaaa...x2.
Dah! Nisimalize uhondo.
NB: Watu watajiuliza mbona Cosmas Chidumule hakuimba katika wimbo huu?
Ni kweli Cosmas hakuimba katika wimbo huu, bali yeye alishiriki kutunga. Wakati wimbo huu kabla haujapelekwa studio, Cosmas alishalipa kisogo kundi la Mlimani park na akatimkia zake Vijana jazz band.
Karibuni WAHENGA.
Sent using
Jamii Forums mobile app