Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Geo...Ka
Karibu mzee wangu
Nnayo ile Picha ya Nyerere anakabidhiwa Samani Magomeni kwa ruhusa yako naomba niipandishe hapa
Geo...
Hakuna tabu ndugu yangu hiyo ni elimu wape watu bila khiyana.
Hapo umri ulikuwa haujaenda kama sasaMichael Jackson na Donald Trump
View attachment 1526063
Wanasema hakuna jipya duniani.
Mkuu ulikuwa unaamini tuu kitofauti ,SH alikuwa mtupu sana,alikuwa ni pandikizi tuu km wengine alitumika kuvuruga Aman ya Middle East na Levant[emoji1787]leo nimeamini kabisa Mkuu,yani miaka yote huwa namuona jamaa kama mwamba fulani mtata,yani kwa kifupi hapa Duniani hakuna Binadamu mtata kama yeye hata Hitrel hakuwa kauzu kama Saddam .alafu kumbe kwa wanawake Saddam alikuwa mtoto hivo
Maisha yetu haya mkuu
Tumia pande la chandarua utapenda smoothness yake
AiseeeView attachment 1525803Museveni akiwa kwenye kampeni 1980s
Hiyo sijawahiTumia pande la chandarua utapenda smoothness yake
[emoji23][emoji23]nalitamani,linaweza kuwa ni chanzo cha raha.[emoji1787]
Likishalainika linakuwa zuri[emoji23][emoji23]nalitamani,linaweza kuwa ni chanzo cha raha.[emoji1787]
Sadiki na Chitemo
Daah,mkuu mbona hivo lkn,unatisha ujue?View attachment 1526957
Vladimir Putin akiwa Tanzania 1972 pamoja na Samora Machel na Emerson Mnanangwa(Rais wa Zimbabwe)
-Putin alikaa Morogoro Tanzania kwa miaka 4 (1973-1977)akiwafundisha wapigania uhuru wa kusini
Daah,mkuu mbona hivo lkn,unatisha ujue?
Hivi vitu mkuu,hivi ni vitu adimu sana..tena saana.Hahahaaa kivipi mkuu???