JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Hivi vitu mkuu,hivi ni vitu adimu sana..tena saana.
πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ

Na sema nimechoka tu kuandika ndo maana kasi ikepungua na majukumu yanabana. Ila nna picha za historia nyingi sana
 
[emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]

Na sema nimechoka tu kuandika ndo maana kasi ikepungua na majukumu yanabana. Ila nna picha za historia nyingi sana
Usisite mkuu pindi upatapo wasaa!Asante sana.
 
haya kweli mabeberu 1953 ni kama walikuwa wameshamalizana na kila kitu kwenye masuala ya maendeleo
 
hii familia nahisi inajua historia ya nchi hii kuliko
 
Nilisoma Historia Primary School tu ila baada ya Hapo ni Ufundi(Mazengo na kina Ngwea) na Science kwenda mbele

Ni Hobby tu[emoji16][emoji16]
Aiseee
Kweli ni hobby.

Nilitaka nianze kulisingizia somo bure[emoji1787][emoji1787]
Kumbe umesoma na Ngwea eeh!?!
Wadogo zangu nyie wa 1980's

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…