Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umefurahi eeh safi,hkn haja ya kubishana humu
Vzr ,wakupe Pepsi Max baridiii
Kutoka kushoto:Mizengo Pinda, Christopher Ole Sendeka, Marehemu Ukiwaona Ramadhan Mwinshehe Ditopile wa Mzuzuri na Wilium Lukuvi.
Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, LumumbaView attachment 1527309
Sehemu ya barua aliyoandika Bwana John Pattisson Kwenda kwa Rais Ali Hassan Mwinyi kumuuuliza kama ndiye yeye Ali Hassan Mwinyi waliosoma pamoja Shule katika mji wa York, UK.
Barua ya pili ni majibu ya Rais Ali Hassan Mwinyi mwaka 1988 kumuhakikishia Bwana Patisson kuwa ndiye yeye waliyesoma naye shuleni York akiwa na miaka 19.View attachment 1527298View attachment 1527300
pinda kanichekesha sana
Mimi miaka ya 90 nilikuwa nishafika 20Watu mnapenda ukubwa mi napenda utoto yaani ningekua naweza ningejirudi niwe na miaka 20 ila ndo nishazeeka
Hapo ndo unapokosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2092][emoji2092][emoji2092]Mkapa alishindana na nani? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1]
Ninunulie boss nipoze Koo[emoji3526]Vzr ,wakupe Pepsi Max baridiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ujue nakuona[emoji23]
Maisha nyie acheni tu alikua kafulia balaa hapo anavyoonekana
Ulidhani tupo sawa??hili swala tutali discuss PM[emoji23]
Ulidhani tupo sawa??
Mimi mama yako mdogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, anajifariji tu ,hkn wakumpiga kamba humuhahaha [emoji23] acha nisiseme kitu hapa,lakini unawapiga kamba
Mnaniona mdogo kwa vile Nina masikhara mengi humu ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hahaha [emoji23] acha nisiseme kitu hapa,lakini unawapiga kamba
Hii picha ina maraisi wote waliowahi kuitawala kenyaHahahahaa sawa naona umepata pa kutokea
View attachment 1527245
Haya wenye macho mtanisaidia Kibaki?? Kenyatta Snr & Jnr
Mnaniona mdogo kwa vile Nina masikhara mengi humu ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooo [emoji134][emoji28]sawa mamdogo,nitakuja huko PM unitumie hata ka elfu ngapi
Hahahaha, anajifariji tu ,hkn wakumpiga kamba humu