Si ndio huyu kafariki Jana?View attachment 1540955
Hassan Nassor Moyo (RIP) - Waziri wa zamani (Kilimo & Ugawaji wa Ardhi) akiwa na Mzee Karume - wakiwa ktk mchakato wa kugawa viwanja; April, 1966.
Ndiyo yeye.Si ndio huyu kafariki Jana?
AaminApumzike kwa amani
AmeenApumzike kwa amani
Ndiyo huyo huyo Chief Mshana Jr .Si ndio huyu kafariki Jana?
Aliishatangulia mbele ya hakini mbunge kwa Sasa, pindi hiyo hata hakua na simu maana wangeweka namba
Haaaaa Haaaaa 😂 kwadee Mmbepoo mbaka
Nini lolDuuuh!
Bibi Titi Mohammed & Mwl Nyerere!Nini lol