Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Hahaa hii redio ipo mpaka leo dingi alimpa babuRadio hizi miaka ya 1980 ukiwa nayo wewe Tajiri zilikuwa inaitwa National Memory QView attachment 1721446
Anafanana na chikubalanga kama sijakosea jina
Sio poa (Ila watu mnajua kufananisha) [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Anafanana na chikubalanga kama sijakosea jina
😂 😂 😂 😂 😂View attachment 1544575
Thabo Mbeki, enzi zake za ujana
Teh teh teh!😂 😂 😂 😂 😂
Hawa wazee walikuwa wahuni wahuni tu....ameshika shavu anashaa uno
Hadi huruma, masikini JPM!For future referenceView attachment 1745183
Part of our history...Though ni nje ya mada kidogo lakini naona kuna uhusianoView attachment 1747267
Dah[emoji24]
Aiseee [emoji119][emoji24]Huu ni ushenzi ubwege una nafuu sana..ni ushenzi na ukatili wa kiwango cha juu mno..bila kusahau udhalilishaji
Kweli Leo nimeamini wazungu ni washenzi😭😭Hakuna watu washenzi kama hawa