Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
upana wa mkono wa suti ya jamaa ni sawa na upana wa suruali😂
wakati yupo mikononi mwa marekani rais Bush alituma ma ofisa wa usalama kumuhoji saddam, haya ni baadhi ya MahojianoView attachment 1698697mzee alikuwa mwamba sanaaa
Dah zamani sana aisee
Dah zamani sana aisee
Na kuna huyu P. Mgaya alianza kuwa ADC wa Mwalimu baadae RPC Dodoma na akawa IGP 1975 akitokea cheo cha SSP tu
View attachment 1752671
Huyu ndo muanzilishi wa kampuni ya ulinzi SGA ina tenda za kusafirisha hela mabenki mengi sana. Kafariki mwaka jana nadhani. Kampuni ilipata makashfa mengi ya wafanyakazi kutoroka na mabilioni ya hewa wanazokabidhiwa wanapak gari wanakimbia na hela hadi JPM akaagiza hizo kazi zianze kufanywa na Polisi wenyewe. Na pia ikatengenezwa database ya wafanyakazi wa kampuni za ulinzi
View attachment 1752672
Hapa ni huyo kulia akiwa na Mwandosya na Leonel Mawalla(alikua boss TPDC)
Asante!Dah zamani sana aisee
Na kuna huyu P. Mgaya alianza kuwa ADC wa Mwalimu baadae RPC Dodoma na akawa IGP 1975 akitokea cheo cha SSP tu
View attachment 1752671
Huyu ndo muanzilishi wa kampuni ya ulinzi SGA ina tenda za kusafirisha hela mabenki mengi sana. Kafariki mwaka jana nadhani. Kampuni ilipata makashfa mengi ya wafanyakazi kutoroka na mabilioni ya hewa wanazokabidhiwa wanapak gari wanakimbia na hela hadi JPM akaagiza hizo kazi zianze kufanywa na Polisi wenyewe. Na pia ikatengenezwa database ya wafanyakazi wa kampuni za ulinzi
View attachment 1752672
Hapa ni huyo kulia akiwa na Mwandosya na Leonel Mawalla(alikua boss TPDC)
Watu hawakuwa na vitambi kabisaKuruka debe enzi hizoView attachment 1753166
Hapakuwa na kitimoto.Watu hawakuwa na vitambi kabisa
Arafat Kama French MontanaView attachment 1752608
Yasser Arafat na Kenneth Kaunda wakiingia katika ukumbi wa mkutano mjini Algiers mnamo 1973