Huyu Mzee alijua kuchagua aiseee..... kweli wapo wasichana wenye sura nzuri duniani tuache utani
Duh...ilikuwaje hapa?Aah MondiiiiView attachment 1815236
apo diamond alizuiliwa na mabaunsa asipande jukwaani kuimbaDuh...ilikuwaje hapa?
God is great.. Kama Mungu akitaka kukupa binadamu hawezi kamwe kukuzuiaapo diamond alizuiliwa na mabaunsa asipande jukwaani kuimba
ilikuwa tanga ,Q chief ndio alikua anatumbuiza akasikia purukushani nyuma ya stage,alivyofatilia aliamuru diamond apande on stage atumbuize
baada ya apo diamond akatambulika rasmi kisanii
Yeah, George Foreman.George?
Mkuu ulikuwa uko unasomea nini hapoMimi 1996 Durban South AfrikaView attachment 1804805
Tawekee na big Joe freizer mkuuYeah, George Foreman.
Masikini, alitangulia mapema mbele ya haki!Tawekee na big Joe freizer mkuu
Ha ha ha !naambiwa hii ilikuwa siku ya Uhuru wa Tanganyika jioni ya 9th Dec 1961 - Pale viwanja vya Ikulu !! Mwalimu naye kumbe - hawavumi ila wamoo !!