kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
@we noma mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]View attachment 1520832
Huyu jamaa(Mr Duncan) alikua ni mtaalam wa kuchimba mabwawa miaka ya 1958-1962. Pia alikua ni fundi Bunduki mzuri(Gunsmith)
Alikua anakaa Mwanza na Arusha na kitu anachokikumbuka vizuri na kujivunia aliwatengenezea Mwanza Yatch Club kamzinga kadogo ambako walikua wanakatumia kupiga kwenye mashindano yao ya ngalawa(kama ile tarumbeta/ risasi kwenye riadha)
ila jk kaanza kula bata kitambo sana, ndio mana hakazeeki kale kajamaa.
Napata hisia za ajabu kwenye hizi picha..ni kama nilikuwepo huko miaka hiyo ya zamani[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1520860
Alikua na mtumishi wake mmoja alimpenda sana anaitwa Ateneto anasema alikua naye toka akiwa kijana mdogo
Naona Ateneto anapiga nyoka hapo[emoji1][emoji1]
Safi sana[emoji1534][emoji1536][emoji1548][emoji1545]Hahahaa ndo maana nikiweka najitahidi niweke na maelezo japo kwa kifupi kama nilivyosimuliwa. Stori nyingi nasimuliwa na watoto wa hawa watu wenyewe wengi walishatangulia mbele za haki