JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

9C540057-76B5-4045-AFC4-1900FE098483.jpeg


Mzee hadi uzeeni anapendeza
 
So 2 June 1953 ndo ilikua Coronation ya Bibi Eliza

1110813B-06A9-45FD-9A8F-816624AB80C0.jpeg

Hio hapo juu ni sherehe zilizofanyika UK

Ila pia kulikua na sherehe zilizofanyika katika nchi zote zilizokua chini ya Ufalme wa UK

773B690C-038E-4237-9719-567BBE449D2F.jpeg

Sherehe zilifanyika pale mbele ya Boma Arusha
503BE028-126F-4C8E-AED2-A6337C280A6C.jpeg

Wananchi wakitoka kwenye Rehearsal ya Coronation Day. Hii ni May 1953
 
98482B81-C764-4BF0-A649-8F5F8EEEDEBC.jpeg

Maasi ya Jeshi(KAR) Jan 1964 iliyopelekea Mwalimu kuomba msaada kwa Bibi aje atusaidie kuzima. Manowari ya UK HMS Canteur ikiwa na 45th GROUP MARINE COMMANDOS ikafika pwani ya Dsm wakaruka na Helikopta mpaka Colito(Lugalo) wakawanyang'anya silaha wanajeshi waasi.

Hapo juu Askari muasi anasalimisha silaha yake
 
Back
Top Bottom