Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maalim alikuwa hivi Kumbe [emoji4]View attachment 1524394
Maalim na Mwalimu
Haya nambie post namba ngapi doctor niende moja kwa moja
NishasahauHaya nambie post namba ngapi doctor niende moja kwa moja
Aiseee[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahaaaaaa vijana wa 1990+
Hizo habari sio za kweli.
Kitwana Kondo hakuwa mpigania uhuru bali alikuwa upande wa mkoloni.
Kitwana Kondo KK
Alikuwa Special Branch(Kachero/Tiss)wa Serikali ya kikoloni kazi yake pamoja na mambo mengine ni kupeleka taarifa za kishushushu na harakati za Tanu kwa Bwana Gavana Sir Richard Tunbull pale Government House(Ikulu)
Baadae akaja kuwa Meya maarufu sana wa Jiji la Dar Es Salaam na kisha kuwa Mbunge wa Kigamboni.
Alikuwa rafiki sana na Rais Ali Hassan Mwinyi.
Alifariki mwaka juzi 2017 nyumbani kwake Upanga.
Ngoja nikakutag[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona mie hujanitag?[emoji24][emoji24]
Ngoja nikakutag[emoji23][emoji23][emoji23]
Wala usijali
Ila jua tu nakuomba picha
Sent using Jamii Forums mobile app
😄😄😄😄😄
Naomba uje kwenye uzi wa selfika ujiselfishe[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mie nilikujibu tu OKAY
Suti sasa ndio inaleta utata, kweli maisha ni fumbo.Cha zamani ni dhahabu! View attachment 1457224
Sio the late na Anna? Hawa afu namuona mr machache