Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Correct I retractMkuu Odinga Sr simuoni...huyo wa mbele ni Mwai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaa sawa naona umepata pa kutokea
View attachment 1527245
Haya wenye macho mtanisaidia Kibaki?? Kenyatta Snr & Jnr
Mwaka 88 nilikuwa na miaka 10Sehemu ya barua aliyoandika Bwana John Pattisson Kwenda kwa Rais Ali Hassan Mwinyi kumuuuliza kama ndiye yeye Ali Hassan Mwinyi waliosoma pamoja Shule katika mji wa York, UK.
Barua ya pili ni majibu ya Rais Ali Hassan Mwinyi mwaka 1988 kumuhakikishia Bwana Patisson kuwa ndiye yeye waliyesoma naye shuleni York akiwa na miaka 19.View attachment 1527298View attachment 1527300
Ahahahahah, ahahahaha...!! [emoji1787][emoji1787]
Unacheka nini?[emoji3526]Ahahahahah, ahahahaha...!! [emoji1787][emoji1787]
Nimecheka umeongea kinyume hapo ni miaka 10 baadae ndio unazaliwa[emoji23]
Weee thubutu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka umeongea kinyume hapo ni miaka 10 baadae ndio unazaliwa[emoji23]
MmmmhWeee thubutu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi si mtoto wa 98
Mbona unanishusha hivyo Dr??
Mimi nimemuingiza Mkapa madarakani kwa kura yangu mwaka 95[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2092]
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁😁😁 unahesabu Before Born??
Basi yaishe
Tena nimekosea.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unahesabu Before Born??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi yaishe
Weee thubutu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi si mtoto wa 98
Mbona unanishusha hivyo Dr??
Mimi nimemuingiza Mkapa madarakani kwa kura yangu mwaka 95[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2092]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefurahi eeh safi,hkn haja ya kubishana humu
Watu mnapenda ukubwa mi napenda utoto yaani ningekua naweza ningejirudi niwe na miaka 20 ila ndo nishazeeka
Dah huu Uzi bora ulianzishwa maana najiona jinsi nilivyo mweupe peee kwenye historia.View attachment 1526957
Vladimir Putin akiwa Tanzania 1972 pamoja na Samora Machel na Emerson Mnanangwa(Rais wa Zimbabwe)
-Putin alikaa Morogoro Tanzania kwa miaka 4 (1973-1977)akiwafundisha wapigania uhuru wa kusini