Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
hahaha kwakuwa umependa ukubwa ngoja nikupe ukubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaa[emoji3526]hahaha kwakuwa umependa ukubwa ngoja nikupe ukubwa
[emoji28]
Hahahaha, we ni binti kabisa ,yaani bado mbichiAiseee[emoji134][emoji134]
Kumbe tukiwa wacheshi sana mnatuona mabinti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, wazee wapo humu tunawajua vzr tu ,wewe haupo
Hivi utoto unaishia miaka mingapi?Hahahaha, wazee wapo humu tunawajua vzr tu ,wewe haupo
Mmh😓ujue nakuona[emoji23]
Hongera naona unajitahidi kweli kupata barafu lako la moyoinabidi nichangamkie fursa sasa [emoji23],honeymoon nampeleka virunga
[emoji1548][emoji1534][emoji1534][emoji1534]View attachment 1526957
Vladimir Putin akiwa Tanzania 1972 pamoja na Samora Machel na Emerson Mnanangwa(Rais wa Zimbabwe)
-Putin alikaa Morogoro Tanzania kwa miaka 4 (1973-1977)akiwafundisha wapigania uhuru wa kusini
Hahahaha, we ni binti kabisa ,yaani bado mbichi
hahaha kwakuwa umependa ukubwa ngoja nikupe ukubwa
Oyaaa madogo mnaharibu uzi nendeni pm mkashindane huko atakaeshinda aondoke na huyo mdada
Dah...! Mimi ushirikina na ulozi[emoji2827][emoji2827][emoji2827] yani ni hobby tuu ..Nilisoma Historia Primary School tu ila baada ya Hapo ni Ufundi(Mazengo na kina Ngwea) na Science kwenda mbele
Ni Hobby tu[emoji16][emoji16]
Huna jipya, stori zako ndo hizo hizoDah...! Mimi ushirikina na ulozi[emoji2827][emoji2827][emoji2827] yani ni hobby tuu ..
Tatizo lilianza hapa!