Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Kenneth Kaunda & Martin Luther King - 1960
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah kwan uongo walikua wapenzi bhana, huon hiyo picha walivyo romantieeeh, uwiiiiih mam mdogo wa Taifa.Bibi Titi Mohammed & Mwl Nyerere!
Alikua gentle, afu casual sas lol. Ujana raha mnoView attachment 1543710
Robert Mugabe.
We acha tu Chief cocastic!Alikua gentle, afu casual sas lol. Ujana raha mno
Yeah, inadaiwa Mzee alikuwa anatafunapo kidogo.Aaah kwan uongo walikua wapenzi bhana, huon hiyo picha walivyo romantieeeh, uwiiiiih mam mdogo wa Taifa.
Mkuu hii ili iwe tamu zaidi nashauri tarehe yake ionekane
KabisaaaahYeah, inadaiwa Mzee alikuwa anatafunapo kidogo.
Nooo Way!!View attachment 1543710
Robert Mugabe.
[emoji23][emoji23][emoji23]Aaah kwan uongo walikua wapenzi bhana, huon hiyo picha walivyo romantieeeh, uwiiiiih mam mdogo wa Taifa.
Hii ilikuwa masomoni London...mzee wa Khiko na whisky.....Nampenda sana Mbeki.View attachment 1544575
Thabo Mbeki, enzi zake za ujana
stori nyingine ujue zinamfanya mtu aoenekane mjinga halafu hatujui kama ni kweli... Eti kapewa mtonyo na wana usalama, ee bana mshkaji anataka kukutoa roho, akasema huyo mwana akitaka kuniua hakuna wa kumzuia. Halafu yakaishia hapo, hakufuatilia, kaendelea kuishi nae kama mwana kama kawaida. Alikua mjinga kiasi gani?Akaongeza kuwa hata kama Compaore angetaka kufanya hayo, hakuna wa kumzuia.
Kiongozi,stori nyingine ujue zinamfanya mtu aoenekane mjinga halafu hatujui kama ni kweli... Eti kapewa mtonyo na wana usalama, ee bana mshkaji anataka kukutoa roho, akasema huyo mwana akitaka kuniua hakuna wa kumzuia. Halafu yakaishia hapo, hakufuatilia, kaendelea kuishi nae kama mwana kama kawaida. Alikua mjinga kiasi gani?
Hivi ukiambiwa ee bana, mkeo anataka kukuua, utasema aaaah, huyu nalala usingizi pembeni yake akitaka kuniua huwezi kumzuia, halafu unaiachia hapo hapo, huulizi imekuaje, tunafanyaje, unaua stori, unaendele na maisha??? Then he was a damn douchebag.
Dr nilikumiss SanaKiongozi,
Naomba nikueleze kidogo maana ya maneno ya Rais Thomas Sankara mara baada ya kupata taarifa kutoka wa wanausalama kuhusu mpango ule ovu wa rafikiye Blaise Compoure dhidi yake
Alisema "Hata kama akitaka(Compoure) kuniua hakuna wa kumzuia" hii ina maana mbili
1.Alimuamini sana rafikiye Compaore kiasi cha kutohisi wala kudhani kuwa angeliweza kupanga njama mbaya za kumdhuru na hata kumuua.
2.Kutokana na ukaribu wao Rais Sankara aliamini ikiwa Compaore angelitaka kumuua ama kumdhuru basi asingelishindwa kwa kuwa na ukaribu na kumjua Rais Sankara ndani nje. Ni sawa na mtu aje akuambie mkeo anampango wa kukuua, utajua fika tu hata akitaka kuniua ni rahisi sana kwa kuwa mnaishi pamoja unalala nae na kukupikia(akitaka kukudhuru ni rahisi sana)
Lakini nikurejeshe kidogo nyuma
Rais Sankara sio kiongozi pekee aliyepelekewa taarifa za kuuawa na kuzipuuza
Alasiri ya tarehe 07/04/1972
Wana Usalama walimfuata Rais Mzee Karume wakamwambia "Mzee leo hali huko nje sio salama, kuna taarifa wanajeshi wameiba silaha toka ghala la silaha Jeshini kwa hivyo Mzee tunakuomba usitoke Ikulu kwenda kukote" Wakijua Mzee Karume kila alasiri baada ya kazi hupenda kutoka kwenda maskani Makao Makuu ya Afro Shiraz Party pale Kisiwandui kucheza dhumna na kupiga soga na Rafiki zake akiwemo Sheikh Thabit Kombo(Katibu Mkuu wa Afro Shiraz).
Mzee Karume alijibu kuwaambia wana Usalama wake "Famil llah"(Namuachia Mungu) huku akionekana kuzipuuza taarifa zile.
Huku akisahau kuwa "Kambale akikwambia Mamba anaumwa basi usibishe" kwa kuwa wanaishi wote majiji.
Mzee Karume akatoka zake licha ya tahadhari aliyopewa na kuanza Kucheza dhumna Kisiwandui na kuuwawa na wanajeshi wawili waasi Captain Humud na mwenzake.
Waswahili tuna msemo wetu "Kilichompata Mamba na Kenge pia kitampata"
Nihitimishe kwa kusema Kilichompata Rais Mzee Karume mwaka 1972 ndio Kilichompata Rais Sankara mwaka 1987.
Baba wa taifa kwa swaga tuView attachment 1543376
Enzi za Mwl Nyerere, jeshi la Polisi liliajiri pia Wahindi wakivaa kaptura na soksi ndefu.
Shukraan Dr. Saint AnneDr nilikumiss Sana
Naomba ukipata muda uweke story ya Karume
Wa kwanza kulia ni Maalim Seif [emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 1523249
Wakongwe mtanisaidia caption[emoji26][emoji26]