Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Slp 533 chuo BHapa ni mimi mwenyewe mwaka 1993 chuoni korogwe TTCView attachment 1595061
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slp 533 chuo BHapa ni mimi mwenyewe mwaka 1993 chuoni korogwe TTCView attachment 1595061
Sekuro
Kumbe alikuwa kisu.Fatma Karume 1967, akihutubia wanawake wa ASP( Sio huyu shangazi lakini)View attachment 1664947
Chanzo cha kifo?View attachment 1592121
Josina Machel. mwanaharakati, Mwanamapinduzi, Mpigania uhuru wa Msumbiji, Mke wa kwanza wa Samora Machel Rais wa Msumbiji. binafsi namlinganisha na TAMARA BUNKE mwanamke jasiri msaidizi wa Major Ernesto CHE Guevara ama Salia Sanches Mwanamke shupavu Msaidizi wa Fidel Castro
Licha ya harakati zake Josina hakuonja matunda ya uhuru. alifariki na kuzikwa Dar es Salaam kabla ya uhuru wa Msumbiji
Unamuongelea yupi? Huyo ni mke wa Baharia aliyeongoza Mapinduzi na alitawala kwa mkono wa ChumaKumbe alikuwa kisu.
Hivi kaolewa huyu?
Yallah.Unamuongelea yupi? Huyo ni mke wa Baharia aliyeongoza Mapinduzi na alitawala kwa mkono wa Chuma
Mpuuzi weweYallah.
Nilidhani yule wa TLS
ShukraniMpuuzi wewe
Karume hakuwahi kuongoza mapinduzi mkuu...Alikuwa Dar wakat wa mapinduziUnamuongelea yupi? Huyo ni mke wa Baharia aliyeongoza Mapinduzi na alitawala kwa mkono wa Chuma
Hahahah mie simo mkuu. Unawajua Viwavi jeshi??? Wasije wakanitembelea BureKarume hakuwahi kuongoza mapinduzi mkuu...Alikuwa Dar wakat wa mapinduzi
Rais Nyerere, Rais Jumbe, Rais Moi na Katibu Mkuu Wa Afro Shiraz Sheikh Thabit Kombo
Heri ya mwaka Mpya pia mkuuHahahah mie simo mkuu. Unawajua Viwavi jeshi??? Wasije wakanitembelea Bure
Heri ya Mwaka Mpya
alifanya vibaya sana kwa mtoto huyu.
Pia ni mkuu wa kitengo maalumu cha kumlinda rais.Muhozi Kainerugamba....Kwa Sasa Lt Gen (1997 Sandhurst Military Academy UK)View attachment 1674086