Jomo Kenyatta family. Photo taken on 14th August 1978 during his family reunion at the Nairobi State House. This event was exactly 8 days before his demise.
According to Stanley Githunguri, the then chairman to National Bank of Kenya, was supposed to meet Mzee and Jomo told him to meet him at the statehouse in Mombasa by 21st of August. He says that Kenyatta told him if he misses by 21, shauri yake. Unfortunately Stanley didn't make by 21st and planned to travel to meet him on 22. Unfortunately Jomo died at 3:30 am on 22 August 1978.
Pichani ni rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni akisalimiana na baba yake mzazi Mzee Amos Kaguta kijijini Rwakitura muda mfupi baada ya majeshi ya NRA kuiteka Kampala mwaka 1986.
Kulia ni muhandisi Winnie Byanyima ambae kwa sasa ni mke wa kiongozi wa upinzani Kiza Besige.
Ikumbukwe kuwa kabla ya kuolewa na Besige Winnie Byanyima alikuwa ni hawara wa Museveni wakati walipo kuwa katika vita vya msituni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.