JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

FB_IMG_1681458472211.jpg
 
MARCO MATERAZZI AELEZA SABABU YA ZIDANE KUMPIGA KICHWA

Marco Materazzi amefichua alichomwambia Zinedine Zidane kwenye tukio la kihistoria katika Kombe la Dunia la 2006 nchini Ujerumani

Katika dakika 10 za mwisho za mashindano katika mechi ya fainali kati ya Ufaransa na Italia kwenye muda wa ziada na matokeo yakiwa 1-1, mmoja wa wachezaji bora zaidi wa wakati wote, Zinedine Zidane, alioneshwa kadi nyekundu baada ya kumpiga Marco Materazzi kichwa

kwenye mahojiano na IFTV, ya Italia Materazzi amefichua kile alichosema kwa Zidane.

"Zidane aliniambia Atanipa jezi yake baada ya mechi Nikasema 'hapana, napendelea dada yako'."

Je Ungekuwa wewe ungevumilia [emoji4][emoji3]
FB_IMG_1681531138139.jpg
 
Back
Top Bottom