Kwa wale wahenga wanakumbuka
nakala ya Hemedi kimwanga
CELINA i moja ya nyimbo Alizovutia mno kwenye miaka ya sabini kiasi cha watu kudai kwam ba ulikuwa ni wimbo wa "dikedi yaani wimbo bora kwa kipindi cha miaka kumi "cash"
Ni kweli kabisa; kwani urunzi wake uliwagusa wengi, mipigo yake hali kadhalika. Mtunzi naye, haya Joseph Mulenga aligusa pale am- bapo kila binadamu huguswa kiasi cha kuufanya wimbo huu uonekane kana kwamba mi dira kwa wale wazee wenye tabia mbaya; tabia ya kuingilia ndoa za wana wao.
Kama kawaida, nami leo nausawiri wimbo huu ih usakafishe ujumbe ambao tayari ulikuwa umewafikia watu, tangu wana hadi wazazi na jamii nzima kwa ujumla.
Lakini kabla hatujaanza usawiri wake, hebu kwanza tuangalie mashairi yake yanavyosema: Naja najua, una mawazo. Lakini tutafanyaje ikiwa wazazi wako wameamua hivyo. Nia yangu na mudinumuni vangu. Ilikuwa tufunge ndoa na tuishi sote kama mke na mume Celina. Nimejitahidi jadri ya uwezo wangu eeeh. Wazazi wako waliniwekea vikwazo vingi; Celina.
Naam; hali nd'o hiyo mwakwetu. Ukisema huo ni Uswahili, wengine wanasema unatukana Ukisema ni "ukalamba"; wengine wanadai un akashifu. Ilimuradi mambo ni shagalabaghala.
Lakini ukweli wenyewe ndivyo ulivyo. Kwanini wapenzi waingiliwe katika mapenzi yao? Ah, msemo wa Sunna Muana Kambi, Usimwingilie alopewa, hata ukijanya chuki hawezikukumegea
Naam; hata nami nakubali. Vipi umwingilie yule alopewa haki yake na Rabuka! Usongombingo ulioje huo! Wajuaji wanasema, ukiona mtu anamwingilia mwenzake basi ujue ana lake. Kuna jambo ambalo limemkera kiasi kwamba hapendi mwenzake huyo afaidike.
Vitabu vitukufu vinasema. kwamba ndoa ina hadhi sawa na nyumba ya Mungu; yaani L'Kaaba. Mtu mwenye nia nzuri ya kufunga ndoa, amepewa uzito wa kui- heshimu nyumba hiyo. Sasa anapotokea binadamu kuvunja ndoa hiyo au kuzuia isifungwe kwa hiyana, sijui mtu huyo anakuwa
katika upande gani! Kwa sababu, kulingana na vitabu hivyo hivyo vitukufu, wale waliokusudia kuivunja L'Kaaba wakati huo, Mwenyekiti Mungu aliwashushia videge vidogo vilivyokuwa vimebeba vigololi vya moto kutoka Jehanamu. Unayajua matokeo yake mwak-
Kama unayajua si vibaya
t
Celina
kokukumbusha, lakin kama huyajul: kaa chonjo niknete Basi wale adufuki walio w wakienda kubomoa nyumba hin Al-Kahar, Al-Qudus na buha hu Wata'ala wakiwa na Tenby wakubwa, walidondoshes golob hivyo vya moto vichwani mwa bapo kwapo, waligeuka masivu tan- gu wao waliokuwa kweuve Terobo
Rekodi niliyoisikia
Na Hemed Kimwanga
hadi Tembo wao..
Hiyo ilikuwa imebakia pima elfu tu za nyayo za miguu wailikie nyumba hiyo na kutimiza azma yao. Lakini kama isemwavyo kwenye vitabu hivyo vitukufu kwamba Mwenyezi Mungu ni mweza wa kila jambo liwe juu ya ardhi an ndani yake, juu ya mbingu au ndani yake, ndivyo hawakufanikiwa. ilivyokuwa;
Upo hapo, awakwetu? Sasa vipi wewe mwenzangu mimi uzuie ndoa au uvunje ndoa ya wawili walopen- dana au wawili wapendanao?
Ah, msemo wa bibi yangu yangu mama Lumwanga, mvunja ndoa and doa. Naam; hata nami nakuba- li. kama walovunia L'Kaaba
wadigroka wajin, Nuys
Na kata ans doe ambapo kines meyama
Lakins Морева kupiga moyo Knapovuruges Waswahili Wakage hao, Ikeridhi aki hakuna Hivyo, chochote kinaweza kufany wa na mtu huy
Ndipo hapo mwenzeta bayo Mulenga akasema hivi wakati alipokuwa na bendi ya Miomon Park Orchestra, No two sabab ekuwa hiyo, son: sababu ya kuto ka ujue kwa ajili yang Ston sababu ya kutaka ujchinje kwa ajili yangu
Maneno hayo ni mazuri sana fakini kama tulivyoona hapo mwan kwamba "mapenzi yane nguvu kuliko nguvu" usione ajabu mu akalanya chochote kile ndani kivuli cha penti
Unaambiwa penzi linamithilika na vipito vya maji ya mito ambazo hupoza koo lililochoka na kuhahe Awu kiu. Penzi hupoca ghadhahu zu mfu ukawa ni kama nyeku aliyek fa Penci iamsha nguvu za no kuwa kuno kwamba ni wa asili au sharubat mbao binadamu ameumbiwa kuumilik kwa ajili ya ufalme wake
Upo hapo, Mwakwetu? Kama hivvo ndivyo, basi ndugu yangu usichete na penci. Penzin kaci ma kuti ni mtu. Kwahiyo, kwa kifupi. penzi ni uhutadamu alioumbiwa masharti yote na Mola wetu Jalia sisi sote tuweze kuiona njia njema ya kwenda kwake hiyo siku ya siku.
Ingawaje Waswahili husema. hakuna anayekusakana ndani ya nyumba bila ya napishi mazuri, wazazi wetu angalie i tena upya ku husu kuingilia mapenzi ya wanent
Baadhi ya sisi wazazi ni wakoro Ii sana. Tunapenda sana kuingilia mapenzi ya wanetu kwa ngao ya radhi. Aghalabu tumesahau kabisa kuwa enzi tuliyonayo ni ya kisasa. Zile nyakati anthapo mwanamke alisubiri kupe swa na ma asiyemta hata wakaishi na kuzaa watoto japo kwa kikembe sasa zimekwisha
Kadhalika zile nyakati ambapo wazazi walikuwa wakioza binti zao kwa wana wa matajiri au wana wa fulam ni zo zimepita. Nyakati hize mi zile ambapo vijana hawakawa
Sent using
Jamii Forums mobile app