JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

d1d54baad28abca09ca099d228b579a6.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni Miongoni mwa Ngoma Kali zilizobamba sana katika anga la muziki wa dance.

1.Elimu ya Mjinga -T.O.T (Banza Stone)
2.Mgumba 1&2 -Double M (Muumini Mwinjuma/Kimobitel)
3.Vijino Pembe -Tamtam (Badi Bakule)
4.Mtu Pesa Twanga pepeta
5.Tunda - Wanatamtam (Muumini Mwinjuma)
6.Jela - Ndanda Kosovo
7.Paulina Wanatamtam(Badi Bakule na Mwinjuma)
8.Kisa cha Mpemba- Double M
9.Mtaji wa Masikini - T.O.T(Banza Stone)
10. Diamond Musica - Mapenzi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
FIAT 682 N3, sifa za hili gari ni kwamba lina nguvu sana na ni imara sana. Lakini likiwa limesheheni mzigo hata kufikia speed 70 ni kazi ngumu labda kiwe kipisi na kama ndiyo unatoka Dar kwenda Iringa na ile milima kama ule wa pale mikumi na Kitonga basi jasho litakutoka kwa sababu, ukimaliza kupanda mlima na ukianza tu kushuka, gari kabla halijachanganya tayari mbele kuna mlima mwingine, inabidi upangue tena gea zako karibu zote, basi ilikuwa ni kazi kweli kweli .
FB_IMG_1707192076504.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
FIAT 682 N3, sifa za hili gari ni kwamba lina nguvu sana na ni imara sana. Lakini likiwa limesheheni mzigo hata kufikia speed 70 ni kazi ngumu labda kiwe kipisi na kama ndiyo unatoka Dar kwenda Iringa na ile milima kama ule wa pale mikumi na Kitonga basi jasho litakutoka kwa sababu, ukimaliza kupanda mlima na ukianza tu kushuka, gari kabla halijachanganya tayari mbele kuna mlima mwingine, inabidi upangue tena gea zako karibu zote, basi ilikuwa ni kazi kweli kweli . View attachment 2895597

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SAVAGE HARVEST jina la filam na mwaka 1981ndiyo mwaka iliyotoka.Ndugu zangu wahenga hii filam imetengenezwa kwa mnasaba wa matukio ya kweli yaliowahi kutokea miaka flani ktk bara la AFRICA hususani ktk TAIFA la NAMIBIA.Hiko hivii ,familia ya bwana Casey (mke pamoja na watoto wao)wanamuomba hawapeleke ktk nchi za africa kwa ajili ya kwenda kufanya utalii .Sasa kutokana na hali mbaya ya ukame iliyozikumba baadhi ya nchi ktk bara la africa haswa iliyosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi ktk kipindi hicho,bwana Casey anawakatalia ombi lao.Hata hivyo bwana Casey baada ya kulazimishwa sana na hiyo famila yake (kama vile mnavyofahamu tena wahenga Mzungu akitaka lake)mzee baba anaamua kuchukua uamuzi wa kuwapeleka hivyo hivyo (hii unaweza kuiita mtoto akililia wembe)ili wakajionee wenyewe......Kipindi hicho ktk baadhi ya miji iliyopo ktk nchi ya namibia iliathirika vibaya mno kutokana na ukame uliosababishwa na uhaba wa mvua.Wanavijiji waliokuwa wakiishi karibu na mbuga za wanyama wanalazimika kuyakimbia maeneo yao kutokana na kushambuliwa mara kwa mara na wanyama wakali.........TOM SCERRITT aliyecheza kama CASEY ndiye staring ktk hii movie.wahenga kwa wale wapenzi wakuangalia vipindi vya wanyama kwenye chanel za tv(WILD LIFE) wataenjoy sana kutokana na radha ya kimaudhui iliyomo ktk hii movie.pia inatisha na inahuzunisha sana ikumbukwe kuwa hii ni kutoka ktk(TRUE STORY)
FB_IMG_1707245695817.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom