Jf sio kisiwa

Siku hizi ukitaka kujua wife material ongea na madereva wa bodaboda wa kijiwe cha karibia na kwao. Baaas
 
Umejua kutuinua
 
Hizo kwa watu wa app kupata ni changamoto

Hahahha na maua sie zamu zetu zimeshapita tumeshajizeekea tumewaachia vijana matoleo mapya

Pole kuna apps aina mbili, labda wewe waendelea tumia ile ya zamani...

😊 Ua hata likizeeka halipotezi uturi wake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…