Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi ukitaka kujua wife material ongea na madereva wa bodaboda wa kijiwe cha karibia na kwao. BaaasTatizo la jf ni kwamba wengi Humu wanatumia fake ids na pictures.
Humu Uwezekano wa kukutana na strangers Ni mkubwa Sana.
Kwaiyo,
Bado haiondoi ukweli kua Ni sehemu ya watu waliodesparate Sana na mahusiano.
Mtu normal na unaejithamini na kujiamini,
Kamwe huwez tafuta mtu wa kuishi nae maishani na kushare nae Siri zako na madhaifu yako kwa Njia ya kubahatisha bahatisha Kama vile unabeti gizani,
Zaman hata kabla hujatongoza tulikua mtu anafatilia Hadi familia ya mtu alikozaliwa, ukoo wake, wazazi wake, magonjwa yao n.k
Ukishajiridhisha ndo unakaenda kumwambia binti,
"Ebana eeh mi nmekupenda, nataka uje uwe mke wangu"[emoji4]
Can you imagine,
Huo MDA wa kuchunguza hayo kabla kwa mtu wa JF unautoa wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo kwa watu wa app kupata ni changamotoOoh! ilikuwa ni mention labda ndio maana...
[emoji4] Sisi wazee lazima tupite huku kutazama tazama maua kama nyie, JF bustani hii watu hawajui tu...
Mpwa naona uko kikazi hapo.Ooh! ilikuwa ni mention labda ndio maana...
😊 Sisi wazee lazima tupite huku kutazama tazama maua kama nyie, JF bustani hii watu hawajui tu...
Uko sahii kabisa.Siku hizi ukitaka kujua wife material ongea na madereva wa bodaboda wa kijiwe cha karibia na kwao. Baaas
Babu jamani hata mimi kweliMpwa naona uko kikazi hapo.
Utanipa mrejesho
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaaa kumbe wewe ndio umefanya mapinduzi. Siku hizi sizioni tena zile CC
Kwani uliwahi kutegemea dume zima liseme NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA?Babu jamani hata mimi kweli
Umejua kutuinuaHabari wapendwa wana jamvi LA jf!
Kuna watu wanashangaa sana kuona MTU anatafuta mwenza jf!
Sijaju ni kwanini wanabeza kuwa mwenza wa jf ni mwenza kama wenza wengine tu unaoweza kukutananao kanisani, kisimani,sokoni nk.
Hivyo basi napenda kuwahusia wale wanaotukandia sisi tuliojipatia wenza hapa kuwa wanachama wa jf ndio haohao tunaokutananao mtaa tofauti ni kwamba hapa tunapata nafasi ya connection kwani ni vigumu kujua MTU anayetafuta mwenza kwa kumtazama tu huko njiani, kanisani, kisimani nk
So jf hutusogeza karibu na watu tofauti wenye mahitaji tofauti
Sikutegemea kabisa lakini usikute ametishwa ndio maanaKwani uliwahi kutegemea dume zima liseme NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA?
Maisha yanaenda kwa kasi sana
Udomo zege tu. Wakati siku hizi huhitaji kutongoza. Ukiomba namba unapewa, shughuli imeishaUko sahii kabisa.
Humu humu mitaani unapata Mali Safi.
Seema sijui vijana huwa wanakwama wapi kufaya hizi blind dates?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikikuambia utakubali...Wa jf ndio sisi sisi wa mtaani mkuu
Umempenda mtu mwambie muanze kuzagamuana usiogope maneno ya watu
Maisha yenyewe mafupi haya jamani
Inategemea sasa utaniambia niniNikikuambia utakubali...
Kumbe Smati ndio Ndugai?Hako ka Shunie kanaringa siku hizi. Nadhani katakuwa kanachepuka na Ndugai
Hizo kwa watu wa app kupata ni changamoto
Hahahha na maua sie zamu zetu zimeshapita tumeshajizeekea tumewaachia vijana matoleo mapya