Jf sio kisiwa

Jf sio kisiwa

Pole kuna apps aina mbili, labda wewe waendelea tumia ile ya zamani...

[emoji4] Ua hata likizeeka halipotezi uturi wake...
Ile mpya aliyotoa Max maelezo yaliingia huku na kutokea kule

Au ndio ile ng'ombe hazeeki maini tunazeeka na uzee wetu
 
Ile mpya aliyotoa Max maelezo yaliingia huku na kutokea kule

Au ndio ile ng'ombe hazeeki maini tunazeeka na uzee wetu

Yes ndio hiyo alielezea Max, hebu mwambie Ndugai afanye kukusaidia 🤭

Yes, sasa tunaongea lugha moja...
 
Tatizo la jf ni kwamba wengi Humu wanatumia fake ids na pictures.

Humu Uwezekano wa kukutana na strangers Ni mkubwa Sana.

Kwaiyo,
Bado haiondoi ukweli kua Ni sehemu ya watu waliodesparate Sana na mahusiano.

Mtu normal na unaejithamini na kujiamini,

Kamwe huwez tafuta mtu wa kuishi nae maishani na kushare nae Siri zako na madhaifu yako kwa Njia ya kubahatisha bahatisha Kama vile unabeti gizani,

Zaman hata kabla hujatongoza tulikua mtu anafatilia Hadi familia ya mtu alikozaliwa, ukoo wake, wazazi wake, magonjwa yao n.k

Ukishajiridhisha ndo unakaenda kumwambia binti,
"Ebana eeh mi nmekupenda, nataka uje uwe mke wangu"[emoji4]

Can you imagine,
Huo MDA wa kuchunguza hayo kabla kwa mtu wa JF unautoa wapi?



Sent using Jamii Forums mobile app

Je wanaokutana shuleni?au njiani au kanisani wao wanafatiliana vipi?imagine mko dar mmekutana huko kila mtu ana asili yake na wazazi wapo huko utamfatilia muda gani?

Mimi naamini poppte unapata mchumba sahihi kwakua hamuanzi na ndoa ila mnaanza na urafiki kwanza

Hapo ndipo mtapojuana na kuijua familia yake kwa kiasi fulani

Mwisho wa siku iko hivi MKE ANAKUJA NA MAADILO NA HESHIMA,AKILI NA NAMNA YA KUENDESHA MAISHA ATAZIKUTA KWA MUME ko tafuta kitu kinakufaa vingine vitajisumbukia
 
Uko ulikotaja angalau unabahatika kuiona sura yake, tembea yake.

Kama anakilema chongo, kibiyongo ,kipara n.k vyote unaona na kutathminin kabla.

Sasa humu watu wanatongozana, wanaingia kwenye mahusiano, wanakoseana mpk kusameheana afu hawajawai kuonana hata sura.

Matokeo yake ndo zile nyuz tunasoma watu wamekimbiana stendi na airport siku kuonana.

Can u imagine inaumiza Kias gan unakutana na mtu tofaut na matarajio yako?

Can u imagine inaumiza Kia's gani unakimbiwa stend au airport, unampigia mwenyeji wako unakuta keshakublock[emoji848]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora umetusemea mkuu,maana wanatutukana sana hasa tunaotafuta wake.Na wale wanaotafuta waume.
 
pole mkuu,we tembea kifua mbele,usisikilize ya watu,mitandaoni unawezakupata true love,mimi nilipataga muhindi mmoja huko telegram alinipenda kuliko wanawake wote niliowahi kuonana nao, alikuwa anaishi kenya hapo bahati mbaya alijiua
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Uko ulikotaja angalau unabahatika kuiona sura yake, tembea yake.

Kama anakilema chongo, kibiyongo ,kipara n.k vyote unaona na kutathminin kabla.

Sasa humu watu wanatongozana, wanaingia kwenye mahusiano, wanakoseana mpk kusameheana afu hawajawai kuonana hata sura.

Matokeo yake ndo zile nyuz tunasoma watu wamekimbiana stendi na airport siku kuonana.

Can u imagine inaumiza Kias gan unakutana na mtu tofaut na matarajio yako?



Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huo mstari wa 3 huo
 
Back
Top Bottom