Unajua kwamba?
Sehemu ya ubongo inayoitwa Broca's area inayohusika na Language abbreviations (mpangilio wa maneno) & Speaking (kuongea) imeendelea zaidi kwa wanawake kuliko kwa wanaume.
Hii ndio sababu wanawake wanaweza kuhadithia vitu kwa ufasaha zaidi (Mfano, Umbea) na pia hufanya vyema kwenye public speaking kuliko wanaume (maneno yanajiunda kwa haraka zaidi kutokana na uwepo wa motor actions nyingi kwenye sehemu hiyo)