Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Not today, tunafaa tutengeneze kifaa zaidi ya cha Elon Musk, chenye speed na durability mara elfu ya SpaceX nadhani. Huko ni mbali sana yaani 😁How do we go there?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Not today, tunafaa tutengeneze kifaa zaidi ya cha Elon Musk, chenye speed na durability mara elfu ya SpaceX nadhani. Huko ni mbali sana yaani 😁How do we go there?
Yeah mana thousands light years sio mchezo!Not today, tunafaa tutengeneze kifaa zaidi ya cha Elon Musk, chenye speed na durability mara elfu ya SpaceX nadhani. Huko ni mbali sana yaani [emoji16]
Mpka sasa hatujafikia uwezo wa kufanya deep space exploration Ni kwa sababu hatuna chombo chenye uwezo huoHow do we go there?
Afadhali hivyo kiko mbali 😂😂😂 kuna nchi za kihuni wangeenda kuchimba mawe yote wakiyaleta ardhini. Si superpower zingekuwa nyingi tu, hapo ndipo watu kufurishishiana vifua! 🤣Yeah mana thousands light years sio mchezo!
Kuna uwezo mwingine ata Mungu hawezi kubali kutupatia. Moja wapo ni hayo sasa! Imagine sayari yote almasi, yaani kuchimba tu na kutuma down, duhMpka sasa hatujafikia uwezo wa kufanya deep space exploration Ni kwa sababu hatuna chombo chenye uwezo huo
Mfano kufika Cancri ni approximately miaka buku kutoka duniani.hivyo binadamu wa kawaida ana Life span ndogo hawezi fika na hatuna chombo kitachojiendesha miaka yote hiyo bila defects hivyo basi kufanikisha hilo ni tunaangalia "speed"
Ili kufanya deep space exploration tu travel.thousands na millions of light years kwa mda mfupi tunahitaji tuwe na chombo chenye spidi zaidi ya mwanga kitu ambacho mpka sasa ni impossible
Hivyo hatuwezi fika
Tukifanikiwa hilo tutajibu maswali.mengi kama vile
Are we alone in universe ?
[emoji23][emoji23]Afadhali hivyo kiko mbali [emoji23][emoji23][emoji23] kuna nchi za kihuni wangeenda kuchimba mawe yote wakiyaleta ardhini. Si superpower zingekuwa nyingi tu, hapo ndipo watu kufurishishiana vifua! [emoji1787]
Hata hapa sikuhizi ukifungwa, aliekufungulia mashtaka anatakiwa kukuletea chakula kila siku, serikali haina chakulaIf you are sentenced to prison in sudan, the government will only provide lodgings. Food must be supplied by friends or family.
Hizi sheria zingine sioni kama zina maanaIt is against the law for pregnant women to wear hats in Madagascar.
Really? 😂Hata hapa sikuhizi ukifungwa, aliekufungulia mashtaka anatakiwa kukuletea chakula kila siku, serikali haina chakula
Hapa kweli tu😂Hapana, nadhani kila.mwanamke ana preference zake, na binafsi sidhani kama ukubwa wa maumbile au udogo una impact yoyote kwenye sex as long ujue namna ya kumridhisha mwenzi wako
So kama mashtaka nimefunguliwa na serikali je itakuwaje!Hata hapa sikuhizi ukifungwa, aliekufungulia mashtaka anatakiwa kukuletea chakula kila siku, serikali haina chakula
Waafrika tungeangalia tu mfano kama mwezi tayari wamesha establish ma colonies.na kuna sehemu nchi husika wame establish ma research facilities yaoAfadhali hivyo kiko mbali [emoji23][emoji23][emoji23] kuna nchi za kihuni wangeenda kuchimba mawe yote wakiyaleta ardhini. Si superpower zingekuwa nyingi tu, hapo ndipo watu kufurishishiana vifua! [emoji1787]
Yeah, though its not officially announced lakini ndio ilivyo since last yearReally? 😂
Unakula chakula cha magerezaSo kama mashtaka nimefunguliwa na serikali je itakuwaje!
😂 😂 😂kwa hiyo sie wakina mandigo tuende tuu tuacheze pornography ahahahahaha
Kuna hawa wazee old clubs ndio wanaofanya africa inakua backward maana wanatawala milele na kuiba, tukiwanikiwa kuwaondoa basi Africa itakua ya kizazi kipya and we can make Adrica great again😆😆Over 42% of Africans are under the age of 15.
Yaani nikufunge mimi tena nikuletee cha dona, aii mi nahama 😂😂😂Yeah, though its not officially announced lakini ndio ilivyo since last year
Imagine mtu amebaka mtoto wako halafu amefungwa, nampelekea chura wa kuchemsha kila siku😆Yaani nikufunge mimi tena nikuletee cha dona, aii mi nahama 😂😂😂
Hapo sasa kuolewa nje njeUnakula chakula cha magereza