HumbleBoy98
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 387
- 396
Mhhh🙄🙄🙄Hipo hivi kama ulikuwa ufahamu !
"Unajua kuwa Ukweli unapunguza uaminifu"
Noted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh🙄🙄🙄Hipo hivi kama ulikuwa ufahamu !
"Unajua kuwa Ukweli unapunguza uaminifu"
Noted
[emoji23][emoji23]hata nyonyo moja ni kubwa kuliko mwenzakeFacts
Pumbu moja ni kubwa kuliko lengine
Na hili bila shaka ni la kushoto[emoji23][emoji23]hata nyonyo moja ni kubwa kuliko mwenzake
Haswa Hilo hilo, Kuna viungo huwa havifanani aisee, Mimi hata miguu nikivaa kiatu lazima nibanwe kimoja kipwayeNa hili bila shaka ni la kushoto
Na kwny mguu huwa ni wa kushoto pia? Ila nadhani hata kihisia pia hubeba tofauti,yani titi la kushoto litakua na msisimko zaidi kuliko la kulia.Haswa Hilo hilo, Kuna viungo huwa havifanani aisee, Mimi hata miguu nikivaa kiatu lazima nibanwe kimoja kipwaye
Ni kweli kabisa na vile liko karibu na moyoNa kwny mguu huwa ni wa kushoto pia? Ila nadhani hata kihisia pia hubeba tofauti,yani titi la kushoto litakua na msisimko zaidi kuliko la kulia.
Iko hivyo yani.[emoji23][emoji23]hata nyonyo moja ni kubwa kuliko mwenzake
Yeah! La kushoto huwa ni dogo kutokana na uwepo wa moyo..Na hili bila shaka ni la kushoto
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]T-shirts ziligunduliwa mwaka 1904 maalumu kwa ajili ya wanaume wasio na wapenzi kuwapunguzia adha ya kufunga vifungo
Tembo je?*William Shakespeare ndiye mtu wa kwanza kutumia matusi kuhusu wazazi*
*Mwili unatakiwa kulala masaa manne mara mbili kwa siku badala ya masaa nane mara moja kwa siku*
*Dolphins na binadamu ndio spishi pekee duniani wanaofanya mapenzi kama starehe lakini wengine wote hufanya mapenzi kwa lengo moja tu la kuzaliana*
Mkuu tutakua tunapishana kidogo binafsi naamini la kushoto ndio kubwa na ndivyo nilivyomaanisha kinyume na hiki ulichokiainisha...sijui nipo sahihi....Yeah! La kushoto huwa ni dogo kutokana na uwepo wa moyo..
Lingekuwa kubwa kama la kulia madaktari wangeshindwa kupata Apical pulse.
Guess what?[emoji2]
Ni kweli kabisa aiseeIko hivyo yani.
Kiujumla viungo vyote vya mwili ambavyo vipo bilateral (yaani viwili viwili) huwa vinatofautiana kwenye ukubwa na nafasi.
1. Figo ya kulia ipo chini kuliko figo ya kushoto kutokana na uwepo wa Ini.
2. Sikio lako moja ni dogo na jengine kubwa.
3. Mkono na mguu wako mmoja ni mrefu kuliko mwengine.
4. Katika mapafu yako, pafu la kushoto ni dogo kuliko la kulia.
Kila kitu kina sababu yake, ila kiimani tunasema "Binadamu hajakamilika"
Langu la kushoto ni kubwa kuliko la kuliaYeah! La kushoto huwa ni dogo kutokana na uwepo wa moyo..
Lingekuwa kubwa kama la kulia madaktari wangeshindwa kupata Apical pulse.
Guess what?[emoji2]
AhaaMkuu tutakua tunapishana kidogo binafsi naamini la kushoto ndio kubwa na ndivyo nilivyomaanisha kinyume na hiki ulichokiainisha...sijui nipo sahihi....
Ooh ok fine.. Nilichanganya madawa. by the way nilimisunderstand ile statement.Langu la kushoto ni kubwa kuliko la kulia