Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Acha tu mkuuDon't even go there! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu mkuuDon't even go there! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mzee baba mara nyingi tunaowachezea unakuta tumewazidi sana umri lakini mkiwa na umri sawa huwezi kuwa tricky sana kwake unless umemzidi hela na ye ni mtumwa wa materialsI disagree with this. Wanawake wangekuwa wana mature faste emotionaly basi heartbreaks nyingi zisingekuwa zinatokea.
Wanawake wenyewe tunawachezea hisia kama vile tunavyopiga dandana bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukweli mchunguHahaha mbona umekua mkali
Oh, safi. So si ati nikikamata mama la mama lenye miaka kunishinda nitakuwa ligi hiyo? 😂Kiben10 ni mpigaji tu hana brain ya kumpa mipango bi mdashi sana sana huwa wanaendeshwa
Bwana bwana yaani utashangaa kwenye kikao cha familia wee unaletewa krest ukiuliza kwani sprite hamna...unaulizwa kwani umenunua?Even our family’s love is not unconditional. Ask an unemployed.
Au utashangaa kazi ya kuchuna kondoo na kuosha utumbo unapewa weweBwana bwana yaani utashangaa kwenye kikao cha familia wee unaletewa krest ukiuliza kwani sprite hamna...unaulizwa kwani umenunua?
Sasa ndio maana nasema kuwa huo utafiti sikubaliani nao maana ata kama am 40 demu yupo 26 sii lazima emotionally yupo karibia kupeak...inakuwaje namchezea hisia?Mzee baba mara nyingi tunaowachezea unakuta tumewazidi sana umri lakini mkiwa na umri sawa huwezi kuwa tricky sana kwake unless umemzidi hela na ye ni mtumwa wa materials
Sio ukali, ni ukweli tu yaani 😂Hahaha mbona umekua mkali
Nimekutana na mmoja mwaka 2006 yani kama mimi kabisa yeye mwenyewe alishangaaThere are at least 7 people in the world who look exactly like you!
There is 9% chance that you will meet one of them in your life time.
And ur point is....?Thats its, kuwachezea au kuwapiga miti ni self ambition ya mtu it has nothing to do with emotion maturity
Kwanini muwe na ligi? Wengi ni waelewa pia wameshajitosheleza wanachotaka ni kukojozwa tu sasa kwani uwe na ligi?Oh, safi. So si ati nikikamata mama la mama lenye miaka kunishinda nitakuwa ligi hiyo? [emoji23]
Kuna mdada mmoja ako na mtoto wake, sura kama yangu 😂(lakini hatujuani) 😅🤣Nimekutana na mmoja mwaka 2006 yani kama mimi kabisa yeye mwenyewe alishangaa
Hold on thereAnd ur point is....?
Mizani sawa hapa ni wote muwe kwenye umri unaolingana, Kwa hiyo gap ya umri unakua ushamzidi kila kitu ndo mana ni rahisi kumchezeaSasa ndio maana nasema kuwa huo utafiti sikubaliani nao maana ata kama am 40 demu yupo 26 sii lazima emotionally yupo karibia kupeak...inakuwaje namchezea hisia?
Kwahiyo marehemu wanakuaga wanatuskia ila wanakua hawawezi kutujibu sio?Hearing is the last sense to go when we die