JF special thread kwaajili ya Facts

JF special thread kwaajili ya Facts

If a guy tells you about his problems,he just needs someone to listen to him, you do not need to give advice
 
Most of the world’s oxygen (about 70%) comes from seaweeds and other microscopic algae.
Post ya Abrianna ilionyesha 20% is from Amazon forest, ukijumlisha na hii kutoka baharini ni 90% inamaana 10% ni kutoka misitu mingine yote iliyobaki duniani, Hiyo amazon ni msitu mkubwa namna gani kuzidi misitu mingine yote duniani ikijumlishwa?
 
Habari zenu wana JF.

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu, dhumuni la Uzi huu ni kupeana Facts au kujuzana mambo mbalimbali yanaweza kuwa ya kustaajabisha au la lakini hapo tunakuwa na lengo moja kuu la kujifunza na kuburudika pia kwa kujuzana mambo ya kushangaza. Karibuni nyote kupeana Facts, hapa tutakuwa tunapeana statement zisizo ndefu iwapo mtu atataka maelezo kwa undani zaidi taarifa zote zipo mtandaoni. Mimi naanza kama ifuatavyo.


Kuwa karibu zaidi na mbwa wako kunasababisha ubongo wako kuzalisha kemikali ziitwazo dopamine na oxytocin ambapo ni sawa kama umpendavyo mtoto


Nchini Norway mwanafunzi yeyote kutoka nje ya nchi hiyo anaruhusiwa kusoma bure kabisa katika vyuo vya umma


Tarehe ya mwisho ambayo wanadamu wote waliishi duniani ilikuwa ni 2 November 2002 baada ya hapo ni lazma kuwepo mtu huko nje ya dunia (international space station) kwahiyo mpaka sasa sio wanadamu wote wanaishi duniani kama ilivyo kuwa kabla ya hiyo tarehe


Kama dunia ikikosa oxygen kwa sekunde 5 hapo kila kitu kilichojengwa kwa zenge kitageuka vumbi


Wanasayansi kutoka japani wamegundua mashine ijulikanayo kama MRI ambayo inauwezo wa kurekodi ndoto zako unazoota unapolala na kuzitunza ukaja kuziangalia baadae


Sperm moja ina MB 32.5 ya taarifa za DNA kwahiyo inamaana bao moja la kawaida linakadiriwa kubeba data zenye ukubwa wa TB 1500 (terabytes)


Mtu anapofariki ubongo wake unakuwa na dakika 7 za kurudisha nyuma kumbukumbu zote za mtu huyo katika mfumo wa ndoto


Albatross ndiye ndege mkubwa mwenye uwezo wa kukaa angani muda mrefu bila kugusa chini hutumia miaka yao 6 ya kwanza kupaa tuu baharini bila kugusa ardhi


Sikio la kulia lipo vizuri zaidi katika kusikia maongezi na sikio la kushoto lipo vizuri zaidi katika kusikiliza Muziki


Daktari aitwaye Duncan McDougall alijaribu kuthibitisha uwepo wa roho ndani ya mwili wa binadamu ambapo alifanya hivyo kwa kupima uzito wa mtu anaye karibia kufa kisha kupima tena uzito wa mtu huyo huyo mara baada tu ya kufa, alifanya hivyo kwa watu sita tofauti tofauti ambapo majibu yalionesha kuwa wastani wa uzito uliopotea baada ya kufariki watu hao ni gram 21 kwa wote


Kama ilivyo alama za vidole kila mtu ana alama za kipekee katika ulimi


Twiga ana ulimi mweusi wenye urefu wa nchi 20


Matirio ghali zaidi duniani inaitwa Antimatter ambapo ina thamani ya dollar trillion 62.5 kwa gram, hii inatosha kuangamiza mji mzima wa New York


Nge ni mdudu mwenye uwezo wa kubana mpumzi hadi siku 6 pia ana uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kula chochote


Eurotomia ni ile hali ya mwanamke kwa na ujasiri kujiona mzuri na kuhisi kuna mtu anampenda


Boanthropy ni tatizo la kisaikolojia ambapo mgonjwa anaamini kabisa yeye ni ng'ombe


Kuna kisiwa cha takataka katika bahari ya Pacific ambacho kinaitwa "Great Pacific garbage patch" ambacho kina ukubwa mara 3 zaidi ya nchi ya ufaransa


Tarehe 18 April 1930 BBC walitangaza kuwa hakuna habari siku hiyo hivyo waliweka tuu mziki wa piano


Najua kuna Facts nyingi sana hivyo wadau tujitahidi kushare hizi taarifa tuzidi kujifunza. Kama unapata walakini katika facts hizo fatilia zaidi mtandaoni utapata taarifa kwa kina zaidi.


Karibuni,
mkuu kuna uhusiano gani oxygen na zege kugeuka vumbi?
 
Post ya Abrianna ilionyesha 20% is from Amazon forest, ukijumlisha na hii kutoka baharini ni 90% inamaana 10% ni kutoka misitu mingine yote iliyobaki duniani, Hiyo amazon ni msitu mkubwa namna gani kuzidi misitu mingine yote duniani ikijumlishwa?
Scientists estimate that 50-80% of the oxygen production on Earth comes from the ocean. The majority of this production is from oceanic plankton.
 
Post ya Abrianna ilionyesha 20% is from Amazon forest, ukijumlisha na hii kutoka baharini ni 90% inamaana 10% ni kutoka misitu mingine yote iliyobaki duniani, Hiyo amazon ni msitu mkubwa namna gani kuzidi misitu mingine yote duniani ikijumlishwa?
Q: Does the Amazon produce 20% of the world’s oxygen? A: No. Scientists estimate the percentage is closer to 6 to 9%, and the Amazon ultimately consumes nearly all of that oxygen itself.
 
Post ya Abrianna ilionyesha 20% is from Amazon forest, ukijumlisha na hii kutoka baharini ni 90% inamaana 10% ni kutoka misitu mingine yote iliyobaki duniani, Hiyo amazon ni msitu mkubwa namna gani kuzidi misitu mingine yote duniani ikijumlishwa?
Taiga covers 17 million square kilometres (6.6 million square miles) or 11.5% of the Earth's land area, second only to deserts and xeric shrublands. The largest areas are located in Russia and Canada.
The Amazon is the world's biggest rainforest, larger than the next two largest rainforests — in the Congo Basin and Indonesia — combined. As of 2020, the Amazon has 526 million hectares of primary forest, which accounts for nearly 84% of the region's 629 million hectares of total tree cover.
 
Back
Top Bottom