JF: The only place you can meet real beautiful women

Good nitafute pm tuzungumze
 

Wow!!!! wow!!!! Wow!!!! I've been touched by this post. Thanks. Now I understand you, you are a real man. Wewe ni mwanaume ndio maana unaelewa uzuri halisi, ila wavulana hawataweza kukuelewa kwa hiki ulichokiandika.
 
Doòooh.
 
Kila mtu akiwa eneo la siri anafanya mambo ya ajabu ambayo huwezi mdhania. Kinachotakiwa ni mtu kujitambua pale alipo. Ukiwa jukwaa la dini utaongea dini, ukiwa jukwaa la siasa utaongea siasa, ukiwa PM hata ukituma picha ya utupu si mbaya sababu kule ni sirini. Tatizo watu hamjui jinsi ya kubance kuishi kwenye jamii. Ukiwa roma ishi kama waroma. Kuna watu wana ujinga mwingi sana huku nje ila wakija JF wanaishi kama wanaJF kwa kujitahidi kuonyesha busara japo kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…