Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ahhahaha ngoja mi nikae kimya na miaka 60 ujue
Umefikisha lini miaka 60 wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahhahaha ngoja mi nikae kimya na miaka 60 ujue
Si unaona wanawake wa humu wanaanzia miaka35 kuendelea wakati mie hata 27 sijafikisha,,,Umefikisha lini miaka 60 wewe?
Na wewe umeitwa Danga?!Ahhahaha ngoja mi nikae kimya na miaka 60 ujue
Si unaona wanawake wa humu wanaanzia miaka35 kuendelea wakati mie hata 27 sijafikisha,,,
Tunakisia tu ntakua na 60 kama wewe una 63 hivi
Nimecheka hapo Kwa Dada yangu emmyta inaonyesha kabisa hamjui alafu anasema anaishi buguruniAhhahaha ngoja mi nikae kimya na miaka 60 ujue
Unaona sasa kazi kuhisi hisi tu kujua watuNimecheka hapo Kwa Dada yangu emmyta inaonyesha kabisa hamjui alafu anasema anaishi buguruni
Sijaona mi nimesema tuNa wewe umeitwa Danga?!
Doh huyu Dogo anataka kupotezwa au
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji121] [emoji121] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji109] [emoji123] [emoji106] [emoji781] [emoji779] [emoji770]Nashukuru kwa upendo wako
Wow!!!! wow!!!! Wow!!!! I've been touched by this post. Thanks. Now I understand you, you are a real man. Wewe ni mwanaume ndio maana unaelewa uzuri halisi, ila wavulana hawataweza kukuelewa kwa hiki ulichokiandika.
Acha kujipendekeza dogo..huo ni ugirlish ..Wengine hufanya makusudi tu wala usiwamini wasemacho
Na kwako pia mkuu
Hujambo yako amani yangu
Ukute ni Li afande. .. limeshindwa kukamata watu huku linakuja kuomba Namba za simu inboxHivi unamtukana mwanamke wa nini? Aisee
Jamani acheni kukutana na vijana wadogo wadogo matokeo yake ndio hayaa,,mnafanya kwa nia njema wenzenu wanageuza manenoHivi unamtukana mwanamke wa nini? Aisee
Kwa vita hatokuweza ,Ila kwann iwe Vita mpaka mtoane jasho ???.Aliekwambia money penny anawatoto 3 Nani? !
Uliwaona au ulinishika miguu wakati najifungua?!
Unatafuta vita na mimi au mtu mwengine
Dogo tubu mapema kabla sijakuchorea ramani bado tumeanza mwaka ivooo!
Vladmir Putin Joseverest huyu Dogo ataweza vita na mimi kweli?!
Oo kumbe,,,kwa hiyo wewe sio muhaya?na kakosea kabisa ili ajue hajapatia
Angekuwa afande angeringa mbonaUkute ni Li afande. .. limeshindwa kukamata watu huku linakuja kuomba Namba za simu inbox
We afande fanya kilichokuleta usituchoshe na notifications tutakuripoti kwa boss wako EdwardC8
Huyo husnathebosslady achana naeOo kumbe,,,kwa hiyo wewe sio muhaya?na kakosea kabisa ili ajue hajapatia
Khaa yaani mkaoneshane picha zetu kisa mmekasirishwa... nitaua mtu ole wenu mkatumiane picha yangu mnitangaze nina bichwa kama matikiti ya Morogoro.Inabidi wanawake watuunge group tuoneshane pic za wanaume wa humu,,ili akikujia unajua kabisa huyu ni flan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka 35 na 45 ,mbona wengine hata 30 hatujafikia kabisa
espy Evelyn Salt MBITIYAZA
Basi wengi hawajaelewa kama mshana alimaanisha hivyo ndo maana wamekaa kuhukumu kwa wanachikiona humu.
Sijambo mkuu
Heri ya mwaka mpya
Mnatuchosha bana tena ulivyo na kichwa kirefu sasa utawatambuaa wanawake wa humuKhaa yaani mkaoneshane picha zetu kisa mmekasirishwa... nitaua mtu ole wenu mkatumiane picha yangu mnitangaze nina bichwa kama matikiti ya Morogoro.
Nitawalaani.