JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Nashukuru kwa upendo wako
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji121] [emoji121] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji109] [emoji123] [emoji106] [emoji781] [emoji779] [emoji770]
Wow!!!! wow!!!! Wow!!!! I've been touched by this post. Thanks. Now I understand you, you are a real man. Wewe ni mwanaume ndio maana unaelewa uzuri halisi, ila wavulana hawataweza kukuelewa kwa hiki ulichokiandika.
 
Aliekwambia money penny anawatoto 3 Nani? !
Uliwaona au ulinishika miguu wakati najifungua?!
Unatafuta vita na mimi au mtu mwengine
Dogo tubu mapema kabla sijakuchorea ramani bado tumeanza mwaka ivooo!

Vladmir Putin Joseverest huyu Dogo ataweza vita na mimi kweli?!
Kwa vita hatokuweza ,Ila kwann iwe Vita mpaka mtoane jasho ???.

Edo alikuambia nn kuhusu Tajiri ?? Nakiliwatokea nn Wewe na Kidawa ??.

Itakua vema km kila mmoja atatulia .
 
Ahahahhaha
Huyu aliandikaga Thread ya lara 1 vs Money Penny akaanza kurapu wakamfutia maskini ya Mungu
Naona kaja kivingine tena

Hateeeer... na bado mimi hautakaa uniwezee unaweza ukanichukia mpaka ukafaa kwa presha pole sana dogo EdwardC8
Oo kumbe,,,kwa hiyo wewe sio muhaya?na kakosea kabisa ili ajue hajapatia
 
Ila tu wanaume wa jf mna roho mbaya baadhi yenu,,hivi tukisifiwa kwanini hamkubali,,yaan wengine roho zimewauma kweli Kuona huu uzi ulioandikwa na Mshana,,sasa mlitaka awasifie wanaume wenzie ili iweje,,acheni hizo bana
Tukileta uzi kusifia baadhi ya wanaume mnapovuka tena hata sijui tuwafanyeje
 
Inabidi wanawake watuunge group tuoneshane pic za wanaume wa humu,,ili akikujia unajua kabisa huyu ni flan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka 35 na 45 ,mbona wengine hata 30 hatujafikia kabisa
espy Evelyn Salt MBITIYAZA
Khaa yaani mkaoneshane picha zetu kisa mmekasirishwa... nitaua mtu ole wenu mkatumiane picha yangu mnitangaze nina bichwa kama matikiti ya Morogoro.

Nitawalaani.
Basi wengi hawajaelewa kama mshana alimaanisha hivyo ndo maana wamekaa kuhukumu kwa wanachikiona humu.


Sijambo mkuu
Heri ya mwaka mpya
 
Khaa yaani mkaoneshane picha zetu kisa mmekasirishwa... nitaua mtu ole wenu mkatumiane picha yangu mnitangaze nina bichwa kama matikiti ya Morogoro.

Nitawalaani.
Mnatuchosha bana tena ulivyo na kichwa kirefu sasa utawatambuaa wanawake wa humu
Tunaunga group yaan kama unajijua ulirushia mwanamke picha humu tunaambiana huyu daby anaishi sehem flan,,huyu flan namba yake ya simu hii hapa ,hata kama unatumia id kumi na namba 100 si ataona picha mkikutana tu anajua huyu flan kumbe ana id zile ahaaa inakua tayari ana alarm kichwani
 
Back
Top Bottom