Naunga mkono hoja tuweke group tutume. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kama namuona nanihii na naihii watavyowahi PMInabidi wanawake watuunge group tuoneshane pic za wanaume wa humu,,ili akikujia unajua kabisa huyu ni flan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka 35 na 45 ,mbona wengine hata 30 hatujafikia kabisa
espy Evelyn Salt MBITIYAZA
Mimi halcast wa kichagaOo kumbe,,,kwa hiyo wewe sio muhaya?na kakosea kabisa ili ajue hajapatia
Sawa kaka ngoja tumchunieWatu wamememchunia nyie mnampa kiki
Halaf sasa hasomi hata nyuzi zako na ushatabanaisha kua wewe ni half wa kichaga ahahahahMimi halcast wa kichaga
Teh,Mnatuchosha bana tena ulivyo na kichwa kirefu sasa utawatambuaa wanawake wa humu
Tunaunga group yaan kama unajijua ulirushia mwanamke picha humu tunaambiana huyu daby anaishi sehem flan,,huyu flan namba yake ya simu hii hapa ,hata kama unatumia id kumi na namba 100 si ataona picha mkikutana tu anajua huyu flan kumbe ana id zile ahaaa inakua tayari ana alarm kichwani
Mi ndo kwanza nina miaka 21 kwanini mtu aanze kusema wote huku tuna miaka 35. Kusingiziana hata sijapenda. Mbona wao wengi ni below 25 na above 45 tunawachunia.Si unaona wanawake wa humu wanaanzia miaka35 kuendelea wakati mie hata 27 sijafikisha,,,
Tunakisia tu ntakua na 60 kama wewe una 63 hivi
Watu waliachwa na magf zao ndo walivyo. Wanakuaga na hasira kwa kila mwanamkeHivi unamtukana mwanamke wa nini? Aisee
Eee hakuna kufichana,,maana wao wanatumbuua kila siku humu,,na tutaunga group kule pm,,,ili siku mwanaume wa humu akimuanika na kumsema mwanamke vibaya na sie tunaanika mwanaume mmoja na kumsema vibaya,,Naunga mkono hoja tuweke group tutume. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kama namuona nanihii na naihii watavyowahi PM
Hilo nalo nenoKwa vita hatokuweza ,Ila kwann iwe Vita mpaka mtoane jasho ???.
Edo alikuambia nn kuhusu Tajiri ?? Nakiliwatokea nn Wewe na Kidawa ??.
Itakua vema km kila mmoja atatulia .
Afande junior huyo hamna kitu hapo mwacheni ana frustration za maishaAngekuwa afande angeringa mbona
Hihihihi Bro nawe umooo?!Khaa yaani mkaoneshane picha zetu kisa mmekasirishwa... nitaua mtu ole wenu mkatumiane picha yangu mnitangaze nina bichwa kama matikiti ya Morogoro.
Nitawalaani.
KwakweliKwa hili povu..... Utakua uliibiwa bwana...... Pole.
Mje huku achaneni na huyo Afande anawategesheaNaunga mkono hoja tuweke group tutume. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kama namuona nanihii na naihii watavyowahi PM
Ukute ni bikra 😀😀Watu waliachwa na magf zao ndo walivyo. Wanakuaga na hasira kwa kila mwanamke
Kumbe wamjua?Angekuwa afande angeringa mbona
Haloooooooooo wasituzeeshe tenaa,,narudia wanawake wa jf wazuri wana tabia nzuri hatupigi mizinga,wastaarabu ,warembo kuliko mitandao yote ambae hapendi achukue dudu yake ajiingizie matako.niMi ndo kwanza nina miaka 21 kwanini mtu aanze kusema wote huku tuna miaka 35. Kusingiziana hata sijapenda. Mbona wao wengi ni below 25 na above 45 tunawachunia.
Labda walitaka wasifiwe wao na mwanaume mwenzaoIla tu wanaume wa jf mna roho mbaya baadhi yenu,,hivi tukisifiwa kwanini hamkubali,,yaan wengine roho zimewauma kweli Kuona huu uzi ulioandikwa na Mshana,,sasa mlitaka awasifie wanaume wenzie ili iweje,,acheni hizo bana
Tukileta uzi kusifia baadhi ya wanaume mnapovuka tena hata sijui tuwafanyeje
Tunatengeneza hili jipya la mikasa ya wanaume wa jf,,jiandaeni najua mnasoma hapaTeh,
haha kiuhalisia Ila si mna magroup yenu ya member wa humu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Khaa yaani mkaoneshane picha zetu kisa mmekasirishwa... nitaua mtu ole wenu mkatumiane picha yangu mnitangaze nina bichwa kama matikiti ya Morogoro.
Nitawalaani.
Zoezi litatuhusu wote hata mimi au wanaowashushua tu?Tunatengeneza hili jipya la mikasa ya wanaume wa jf,,jiandaeni najua mnasoma hapa
Group linaanza leo ,,,we kama mwanaume ulituma picha kwa mwanamke yeyote wa humu tunabadilishana tuwajue wote
Mmetuchosha kabisa yenu hatusemi,yetu vifua mbele
Pole sanaNimo bwana nimepata alert mnataka kutunika imebidi nije mkukumkuku
Unacheka kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi Daby ..... Kwenye avatar yako huyo ni wewNimo bwana nimepata alert mnataka kutunika imebidi nije mkukumkuku