JF: The only place you can meet real beautiful women

Mkuu nakubaliana na wewe pale kuwa mods wamebana upuuzi mwingi, ingekuwa kuko free kama fb pengine asingeandika aliyoandika
 
Hapana kabisa... Mimi sio bazazi halafu nawaheshimu sana.. Wote niliokutana nao ni kwa ajili ya issues.. Kama kuna niliyemtafuna hata kwa bahati mbaya ajitokeze.. Nitaomba radhi
Uhii bro ah ah ah hujapitia watu kweli
 
Sitaki kubishana na ww wenda nawe umenunuliwa. Maana ww unasifia kitu ucchokijua si taabu tupu au kisa comment zao na kutokupost vtu km fb na kingne tofautsha Jf na uko cz ukija uku na utoto wa uko utayaoga au mods wakuzime had utajshape mwnyw
Kwanini hoja yako wengi hawajaiona ilipo! Niko na imani iwapo Jf ingekuwa free kupost ujinga wowote kama huko kwenye mitandao mingine hakika heshima yake ingekuwa haipo kama ilivyo sasa
 
Mi nilijua tuu.... We ni Shankupe..... Huna linda hata 1
 
Jf women are not as beautiful as the way you praise them.........most of them put fake avatars and they are too talkative..... They consider themselves superior.......
Jf is not the exactly place where you can have a good partner.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
khaaa ishafika na kwako mara hii tena basi bwana na wanawake mnavyojua kutoa kasoro isuteni na kuifyonza mtakavyo.
Ahahahah wamekufyonzaje loo
Ila we si ushajiweka tayari hiyo avatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…