JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Duh kwa hli nahc npo against na ww mkuu cz hawa hawa (fake id) tulionao uku ni wale wale waliopo kule, sema mods wamebana upuuzi mwng.
Japo siyo wote ila baadh yao n wale wale si me/ke.
Narudia tena mke/mme mwema ni pale ulipombahatisha maana watu wana fake life hatar na siyo vngnevo
Mkuu nakubaliana na wewe pale kuwa mods wamebana upuuzi mwingi, ingekuwa kuko free kama fb pengine asingeandika aliyoandika
 
Hapana kabisa... Mimi sio bazazi halafu nawaheshimu sana.. Wote niliokutana nao ni kwa ajili ya issues.. Kama kuna niliyemtafuna hata kwa bahati mbaya ajitokeze.. Nitaomba radhi
Uhii bro ah ah ah hujapitia watu kweli
 
Sitaki kubishana na ww wenda nawe umenunuliwa. Maana ww unasifia kitu ucchokijua si taabu tupu au kisa comment zao na kutokupost vtu km fb na kingne tofautsha Jf na uko cz ukija uku na utoto wa uko utayaoga au mods wakuzime had utajshape mwnyw
Kwanini hoja yako wengi hawajaiona ilipo! Niko na imani iwapo Jf ingekuwa free kupost ujinga wowote kama huko kwenye mitandao mingine hakika heshima yake ingekuwa haipo kama ilivyo sasa
 
Wanawake wa JF bhana...nimejamba comment 1 tu mmepoteana mpaka thread iko page ya 26 etc...sasa kuwakomesha nawafungulia thread masingo maza nyie...aki mtahamia YouTube🙂

Mnajiona prominent profiles kumbe mashangingi...kama ni uanamke na tabu zake kwa hapa JF naujua...ni nani kati yenu ameshawahi kuvunja rekodi ya account yangu moja tu ya @Husna_TheBossLady kwa attention, comments, pm nk?...halafu hapa mnataka kujifanya wabunifu na wenye majina ee

Msinichepue mtapoteana.
mshana jr Money Penny Joseverest Vladmir Putin
Mi nilijua tuu.... We ni Shankupe..... Huna linda hata 1
 
Jf women are not as beautiful as the way you praise them.........most of them put fake avatars and they are too talkative..... They consider themselves superior.......
Jf is not the exactly place where you can have a good partner.
 
Angalieni sana watu mnaokutanana nao humu
Kuwa bibi sio vibaya maana kila mtu atakua babu au atakua bibi kwa wakati wake,,na haizuii mtu kuwa kwenye mitandao
Ukute hata huyu edward nae ana mapungufu mengi kuzidi hao aliowataja,,na kujisifia kulala na wanawake 43 ni sifa sasa ukute ka dudu kadogo maana hawaridhikagi watu wenye vibamia ,kulala lala hovyo na wanawake tofauti huku akianika ka **** kake kama msumari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
khaaa ishafika na kwako mara hii tena basi bwana na wanawake mnavyojua kutoa kasoro isuteni na kuifyonza mtakavyo.
Ahahahah wamekufyonzaje loo
Ila we si ushajiweka tayari hiyo avatar
 
Back
Top Bottom