JF: The only place you can meet real beautiful women

Asante Mr Mshana kwa kutukumbuka lkn unaweza kuta waliopo huko kwingine ndo waliomo humu, ID fake ujue

Lakini asante sana maana doh umetupamba tumepambika sio wenzio kutwa kutunanga
Mbona wengine tukiwasifia mnakimbia jumla hata kujibu meseji hamjibu
 
Wanajikutaga bilgets na mahandsome wa taifa, hebu watupishe tu kwakweli. Aliyejisemea %kubwa ya wanaume humu ni wale wanaosumbuliwa na balehe za ukubwani hakukosea kabisaaaa.
 
Wanajikutaga bilgets na mahandsome wa taifa, hebu watupishe tu kwakweli. Aliyejisemea %kubwa ya wanaume humu ni wale wanaosumbuliwa na balehe za ukubwani hakukosea kabisaaaa.
Mzigua90 kasema eti wanaume wa humu sura mbayaa,pesa hawana na midomo juuu basi wangekaa kimyaa nimechekaa,njoo pm wewe
 
Hafu wewe unaweza kufwa humu usishibe kila ulishwachwo humu.

Nampenda sana my ex mdogo yupo mkubwa yupo mweupe yumo na mweusi pia yupo wala hapungui mahala

cc espy
Hahahaaa!! Ila kwenye sifa mbaya tu ndio huwa simo kabisaa. Kwenye nzuri zote zinanihusu.
Wakisifiwa flat screen nimo, wakisifiwa wenye misambwanda nimo, wakisifiwa weupe nimo,wakisifiwa weusi nimo. Ila ikitokea wanapondea basi hizo sifa hazinihusu kabisaaaa.
 
Ahhahahaha we kibokoo
 
for sure Jf girls are intelligent; their comments sound, suggestion worth more than a million in a pocket; i wish i could get one from here,but who is gals????here that's a question.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…