Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
Basi nami nijipatie wangu humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We demu kiazi eeh!!!!...tambua huongei na jike mwenzio hapa..kajifunze kutawaza huko mfyuuu
Karibu tu uniombe.[emoji23] [emoji23] [emoji23] naogopa nikiomba radhi nitaomba na vingine [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mwana ngoma yako lini inatoka ?Faza vp siku hiz umeacha uchawi umehamia kwa watoto wazur
Hahahaaaaaa! Mie ndio kwanzaaa nina 20 tu!!Inabidi wanawake watuunge group tuoneshane pic za wanaume wa humu,,ili akikujia unajua kabisa huyu ni flan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka 35 na 45 ,mbona wengine hata 30 hatujafikia kabisa
espy Evelyn Salt MBITIYAZA
Mbona wengine tukiwasifia mnakimbia jumla hata kujibu meseji hamjibuAsante Mr Mshana kwa kutukumbuka lkn unaweza kuta waliopo huko kwingine ndo waliomo humu, ID fake ujue
Lakini asante sana maana doh umetupamba tumepambika sio wenzio kutwa kutunanga
Hivi si nimekuunga group mbona sikuoniHahahaaaaaa! Mie ndio kwanzaaa nina 20 tu!!
Wanajikutaga bilgets na mahandsome wa taifa, hebu watupishe tu kwakweli. Aliyejisemea %kubwa ya wanaume humu ni wale wanaosumbuliwa na balehe za ukubwani hakukosea kabisaaaa.Mmmh wote hao 43?
Wengine hatumo bana kwenye hiyo idadi,,halaf umewaogopa umeona uje kwa id mpya ambao hawaijui si ndio
Ulijuaje kama ni mashagingi?
Usipende kuhukumu watu jiangalie kwanza wewe
Halaf kuwa na watoto ni dhambi mno eti si maamuzi ya mtu lo,,ndio maana mim kuonana na watu wa humu sitaki kabisa aisee,,mnaonana kwa nia njema kumbe mtu anakuchunguza ulivyo na kujiandaa kuja kusema jf
Cc Miss Natafuta emmyta Money Penny @Mamdenyi
Umeniunga kwa namba ipi? Utakuwa umeunga isiyotumika bwana.Hivi si nimekuunga group mbona sikuoni
Mzigua90 kasema eti wanaume wa humu sura mbayaa,pesa hawana na midomo juuu basi wangekaa kimyaa nimechekaa,njoo pm weweWanajikutaga bilgets na mahandsome wa taifa, hebu watupishe tu kwakweli. Aliyejisemea %kubwa ya wanaume humu ni wale wanaosumbuliwa na balehe za ukubwani hakukosea kabisaaaa.
Pm banaUmeniunga kwa namba ipi? Utakuwa umeunga isiyotumika bwana.
Hahahaaa!! Ila kwenye sifa mbaya tu ndio huwa simo kabisaa. Kwenye nzuri zote zinanihusu.Hafu wewe unaweza kufwa humu usishibe kila ulishwachwo humu.
Nampenda sana my ex mdogo yupo mkubwa yupo mweupe yumo na mweusi pia yupo wala hapungui mahala
cc espy
Ngoja nije.Pm bana
Ahhahahaha we kibokooHahahaaa!! Ila kwenye sifa mbaya tu ndio huwa simo kabisaa. Kwenye nzuri zote zinanihusu.
Wakisifiwa flat screen nimo, wakisifiwa wenye misambwanda nimo, wakisifiwa weupe nimo,wakisifiwa weusi nimo. Ila ikitokea wanapondea basi hizo sifa hazinihusu kabisaaaa.
Ishatumwa nimeiona... kuwa mpole tu.Mwenye picha yangu jamani aje tu tu negotiate maana kuwekana uchi sio vyema[emoji120] [emoji119]
Umenishindwa mm utampenda mshana jr ?? pumba kabisamshana baby.napenda sana wazee.
@mahondah ni fala mmoja hivi wa Joseverest...hizi ni ID zilizotukuta watoto wa JF halafu zikapewa shavu...kamuulize Inspector Peter wa Cyber crime pale kituo kikuu cha polisi.