JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Jf women are not as beautiful as the way you praise them.........most of them put fake avatars and they are too talkative..... They consider themselves superior.......
Jf is not the exactly place where you can have a good partner.
How many did you met?
 
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pengine wanaoponda ni kati ya wale waliokataliwa, vibamia ama ngangaripoa... Binafsi nimekashifiwa kwenye huu uzi.. Halafu walionikashifu ni wavulana tiamaji tiamaji
Tia maji tia maji kama kidogo sasa!!
Hawana hata la maana, wapuuze.
 
Kwani unataka kumbakizia nani?
[emoji8] [emoji8] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji111] [emoji111] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji109] [emoji108]
 
Amini nakuambia mkuu Mshana Jr, 90% waliomo jf ndio hao hao wapo fb, badoo, inst, twit na kwingineko, tena wanatamani sana mambo ya huko wayalete huku sema kwa kua tuna Id fake wanaogopa kujulikana,
Kuna wa3 humu nawajua wa2 rafiki wa kitaa, na mwingine ashawahi kua demu wangu (nilijuana nae fb tunampigia kampeni Lowasa, na nilijua yupo humu baada ya kua na mahusiano nae) na kati yao mmoja maarufu sana humu, ila ukiona Mbwembwe zao fb na ista hutaamini kama nia wao.
 
Back
Top Bottom