JF: The only place you can meet real beautiful women

Sikuandika kwa kigezo cha ID bandia, hebu nisome tena.. Nimeandika nje ya uhalisia wa hizo ID.. Ukifuata ID wengi ni weupe, wazungu na waarabu.. Utapotoka utapotea
 
Sikuandika kwa kigezo cha ID bandia, hebu nisome tena.. Nimeandika nje ya uhalisia wa hizo ID.. Ukifuata ID wengi ni weupe, wazungu na waarabu.. Utapotoka utapotea
Sitaki kubishana na ww wenda nawe umenunuliwa. Maana ww unasifia kitu ucchokijua si taabu tupu au kisa comment zao na kutokupost vtu km fb na kingne tofautsha Jf na uko cz ukija uku na utoto wa uko utayaoga au mods wakuzime had utajshape mwnyw
 
Looh hadi nimetabasamu hahahahaha halafu akili yangu korofi ikaniambia hizi sifa zote za kwako Kasie yaani huu uzi asilimia 98 mshana jr kakuanzishia wewe hehehehehehehehee

Wuuhuuuuuu nimefurahii kama kawaida yangu kucheka ndo hulka yangu. Asante mshana kwa sifa kedekede kutoka kwenye kilindi cha moyo wako, vile wajua mwanamke uchumi wake kusifiwa ila zisiwe sifa za uongo.....

Ever Smiling Kasie.
 
Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke wife material wa mitandaoni huu ni udanganyifu tu

Humjui tabia vp unaweza Sema ni real beutiful?
 
Sitaki kubishana na ww wenda nawe umenunuliwa. Maana ww unasifia kitu ucchokijua si taabu tupu au kisa comment zao na kutokupost vtu km fb na kingne tofautsha Jf na uko cz ukija uku na utoto wa uko utayaoga au mods wakuzime had utajshape mwnyw
Najua kutofautisha pretenders na ambao sio pretenders... Wengi ninafahamu acc zao fb mpaka insta... Sijanunuliwa.. Sijui umetumia kigezo gani kusema nasifia nsichokijua.. Kuna points nyingi sana umemiss kwenye andiko langu hebu rudia kusoma tena uone... Angalia mtazamo wangu kuhusu uzuri wa mwanamke
 
Huwa napata mashaka na upeo wako dogo..unaonekana ni jobless na unaishi kwa dada ako..empty brain
 
[emoji47] [emoji47] [emoji15] [emoji47] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kila uzi ninaondika hakosekani mtu wa kusema nimemlenga yeye... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji770] [emoji109] [emoji109] [emoji121] [emoji121]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…