Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji47] [emoji47] [emoji15] [emoji47] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kila uzi ninaondika hakosekani mtu wa kusema nimemlenga yeye... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji770] [emoji109] [emoji109] [emoji121] [emoji121]
Umeandika kile watu wanapenda kusikia.[emoji23] [emoji23] [emoji23] kisa?
Nashukuru kwa kulifahamu na hili piaHata watukanifu watakuja kwa multiple ID, kwakuwa hawatataka kuja na ID zao za kawaida
Mi nilishakausha mkuu....Mnaonaje mkisameheana ili kila mmoja wenu aanze weekend kwa amani.
Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa kwahiyo watu wamezinduka sasa na mshana alaumiwe lolKazi imeanza......nakulaumu wewe mshana jr
Mimi ni mtafiti wa kiza na nuru sikuandika bila sababu... Sikujiandikia kumsifu mtu kwa sifa asizostahili... Sipati chochote SILIPWIMkuu Mshana hata chumvi inafanana na sukari usidanganyike LABDA ndio haohao wamejificha nyuma ya fake ID's wanajifanya keyboard super women's
Asante Mr Mshana kwa kutukumbuka lkn unaweza kuta waliopo huko kwingine ndo waliomo humu, ID fake ujue
Lakini asante sana maana doh umetupamba tumepambika sio wenzio kutwa kutunanga
Hakuna atakayebisha ni ukweli mtupu Kama kaka mshanajr kasibitisha
Thank you mshana jr
Leo mshana jr watoto wote wako!I take that as a Huge Compliment to most Ladies if not all in JF. Thank you!!!
I never thought of it that way (which kind of make me more beautiful I guess...[emoji6] [emoji6] [emoji6])
The more beautiful the quality of your thoughts, the more the beauty you reflect...
Naona zero brain haitoshi umeamua kukandamizia -0...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]