JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Ewaaaaa
Leeo uchawi wangu umekuzidi aki... Hebu ukuje pande za Muheza kwa ungo
Uko wapi niambie una dompo lako la barrrrrrdi sana
Daaaah
Leo ni furahidei eeeehhh

Kaka mshana ujue nakutafuta siku nyingi unazingua aki
Mbinu yako imeanza kuzaa matunda.....🙂🙂🙂
Huyu mimi nimemfukuzia mwaka mzima ananizingua, wewe leo umerusha thread moja tu anakuita mwenyewe...wacha nipambane na hali yangu!🙁🙁🙁
 
Asante Mr Mshana kwa kutukumbuka lkn unaweza kuta waliopo huko kwingine ndo waliomo humu, ID fake ujue

Lakini asante sana maana doh umetupamba tumepambika sio wenzio kutwa kutunanga
Hahahahahahahhhhh.....heri ya mwaka mpya
 
Waliopo humu jf ndio waliopo mitandao mingine, siamini sana katika hiyo notion kwamba wadada wa jf pekee wana uzuri wa nafsi.

Ninachoamini, humu utakutana na kila aina za tabia, wapo wauzaji, wanunuzi, watoa bure, wastaarabu na kila aina ya tabia.

BTW: Watu hupenda kusoma mazingira, huenda wengi tunabadilika kutokana na mazingira tunayokutana nayo jf.
 
ungeweka na picha tuwaone!,au hata ungetoa mfano kwa kuandika majina yao mbali na hapo kuna mwanamke anatafutwa humu na kwa ndele za huyu njemba sidhani kama atavuka viunzi vyake!
wanajf wanaojua kuomba wakazane na maombi😀
 
Waliopo humu jf ndio waliopo mitandao mingine, siamini sana katika hiyo notion kwamba wadada wa jf pekee wana uzuri wa nafsi.

Ninachoamini, humu utakutana na kila aina za tabia, wapo wauzaji, wanunuzi, watoa bure, wastaarabu na kila aina ya tabia.

BTW: Watu hupenda kusoma mazingira, huenda wengi tunabadilika kutokana na mazingira tunayokutana nayo jf.
Kutoa bure ni vibaya
 
Waliopo humu jf ndio waliopo mitandao mingine, siamini sana katika hiyo notion kwamba wadada wa jf pekee wana uzuri wa nafsi.

Ninachoamini, humu utakutana na kila aina za tabia, wapo wauzaji, wanunuzi, watoa bure, wastaarabu na kila aina ya tabia.

BTW: Watu hupenda kusoma mazingira, huenda wengi tunabadilika kutokana na mazingira tunayokutana nayo jf.
Habari
 
Mbinu yako imeanza kuzaa matunda.....🙂🙂🙂
Huyu mimi nimemfukuzia mwaka mzima ananizingua, wewe leo umerusha thread moja tu anakuita mwenyewe...wacha nipambane na hali yangu!🙁🙁🙁
RRONDO niko kwenye ile bar iliyokosa viwango nacheka pekeyangu naonekana chizi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom