Jackline Bahath
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 681
- 627
Roho yako bila shaka imepona ,ukishushia na Asprin utakuwa poa kbsππππππππππ...Asante tunakupenda pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho yako bila shaka imepona ,ukishushia na Asprin utakuwa poa kbsππππππππππ...Asante tunakupenda pia.
Wewe na nani sasa? Mi nataka unipende wewe peke yako,,,,ππππππππππ...Asante tunakupenda pia.
Bado haijakaa vizuri... hebu rudia kwa kuweka msisitizo wa umoja badala ya wingi...Roho yako bila shaka imepona ,ukishushia na Asprin utakuwa poa kbs
Mi nilimjibu hivyo nikimaanisha wanawake wa Jf tunapenda kwa ujumla wetu ...na wewe nimekujibu kama nilivyomjibu MshanaWewe na nani sasa? Mi nataka unipende wewe peke yako,,,,
ππππππππ nitatoka nje ya mada..kwa leo inatosha kbsBado haijakaa vizuri... hebu rudia kwa kuweka msisitizo wa umoja badala ya wingi...
Mi sitaki kupendwa na wanawake wote wa JF. Mi nataka kupendwa na Jackline Bahath peke yake.Mi nilimjibu hivyo nikimaanisha wanawake wa Jf tunapenda kwa ujumla wetu ...na wewe nimekujibu kama nilivyomjibu Mshana
Ukitoka nje ya mada ntakufuata huko huko nje...ππππππππ nitatoka nje ya mada..kwa leo inatosha kbs
Nijibu na mimi hivyo hakika "loho" yangu itapona
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]ya kupigia magoti hainogi... Ilooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]...Asante tunakupenda pia.
Basi yaisheUkitoka nje ya mada ntakufuata huko huko nje...
Nakupenda rfk angu sababu ht vitabu vya dini vinatiasa tupendane.Mi sitaki kupendwa na wanawake wote wa JF. Mi nataka kupendwa na Jackline Bahath peke yake.
Na hili Mshana Jr anatakiwa analijua ndio maana akaniita
Jamii forums ina wanawake wazuri na warembo pia pengine kuliko mtandao mwingine wowote... Usichukulie uzuri kwa tafsiri yako ya macho makubwa legevu, mashavu na lips nene, kifua mwiba, kiuno nyigu, mguu chupa ya bia na tako nundu ya ng'ombe... Huu ni uzuri kulingana na mazoea.. Kwingine vigezo sio hivi... Nazungumzia uzuri wa roho... Na upstairs kwenye medulla...... This is the real beauty....!!!
ππππ ..shauri zako arudi aone hii comment,,,byeAchana na hicho kikongwe cha kishimundu hakina dili wala ishu wala swaga wala mapene wala pochi nene
Maneno meeeengi wakati mi nataka neno moja tu... dah!Nakupenda rfk angu sababu ht vitabu vya dini vinatiasa tupendane.
Kuhusu Mshana una muonea tu jmnπ
Unaulizia nywele saluni?Acha izo Loh... Hujazimua leo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]