JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Asante Mr Mshana kwa kutukumbuka lkn unaweza kuta waliopo huko kwingine ndo waliomo humu, ID fake ujue

Lakini asante sana maana doh umetupamba tumepambika sio wenzio kutwa kutunanga
Anataka aopoe mwingine maana wachawi kwa nyama hawajambo.
 
Hapana kabisa... Mimi sio bazazi halafu nawaheshimu sana.. Wote niliokutana nao ni kwa ajili ya issues.. Kama kuna niliyemtafuna hata kwa bahati mbaya ajitokeze.. Nitaomba radhi
Demiss njoo utoe ushuhuda.
 
Nawapa tahadhari warembo wetu wa jf usiwaingize kichwa kichwa umangani.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji57][emoji57][emoji57]hawadanganyikiii....
 
Ulinzi wa warembo wetu ni jukumu letu sote.
Babu kapumzika kibarazani kusuburi wajukuze turejee kutoka kondeni atuhadithia hadithi za mazimwi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom