Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa...Mi sitaki kupendwa na wanawake wote wa JF. Mi nataka kupendwa na Jackline Bahath peke yake.
Na hili Mshana Jr anatakiwa analijua ndio maana akaniita
Anataka aopoe mwingine maana wachawi kwa nyama hawajambo.Asante Mr Mshana kwa kutukumbuka lkn unaweza kuta waliopo huko kwingine ndo waliomo humu, ID fake ujue
Lakini asante sana maana doh umetupamba tumepambika sio wenzio kutwa kutunanga
Demiss njoo utoe ushuhuda.Hapana kabisa... Mimi sio bazazi halafu nawaheshimu sana.. Wote niliokutana nao ni kwa ajili ya issues.. Kama kuna niliyemtafuna hata kwa bahati mbaya ajitokeze.. Nitaomba radhi
Nawapa tahadhari warembo wetu wa jf usiwaingize kichwa kichwa umangani.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji57][emoji57][emoji57]acha zambi
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji57][emoji57][emoji57]hawadanganyikiii....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]