JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Huo uliousema Mkuu ndio ukweli halisi wa wanawake walio wengi wanaopatikana jf na kama wapo nje ya ulichokiandika basi ni wachache.

Ila niwe mkweli kwa sifa hizi hii siku ya leo itakuwa nzuri humu jf japokuwa kuna wapingaji wanaojifanya kuwafahamu wanawake wa jf kwa hisia watakuja kubisha
emmyta naruhusiwa kufanya imagination kuhusu wewe?
heri ya mwaka mpya
 
emmyta naruhusiwa kufanya imagination kuhusu wewe?
heri ya mwaka mpya
Hahahaa. Unaruhusiwa Mangi.

Na kwako pia. Ila Mangi Mungu anakuona aiseeee. Yaani mpaka nshasahau hata kama huu ni mwaka mpya ndio unaibuka. Duuh.
 
Mmmh wote hao 43?
Wengine hatumo bana kwenye hiyo idadi,,halaf umewaogopa umeona uje kwa id mpya ambao hawaijui si ndio
Ulijuaje kama ni mashagingi?
Usipende kuhukumu watu jiangalie kwanza wewe
Halaf kuwa na watoto ni dhambi mno eti si maamuzi ya mtu lo,,ndio maana mim kuonana na watu wa humu sitaki kabisa aisee,,mnaonana kwa nia njema kumbe mtu anakuchunguza ulivyo na kujiandaa kuja kusema jf
Cc Miss Natafuta emmyta Money Penny @Mamdenyi
Hahahaaa. Siku zote watu kama hao huwa nakosa fungu la kuwaweka na nikishakosaga hilo fungu huwa nawapotezea.

Ila mie namwambia awache kuandika watu kwa hisia sababu wale tunaofahamiana nao watamuumbua.
 
Back
Top Bottom