JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani unaamini nina miaka 21 kweli??
Nakubali na kukataa mana yawezakua au isiwe. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Uwe na tabia hiyo pia.
 
Hahahaa. Umeonaeeee.

Yaani hata kutabiri kashindwa mdogo wangu lol. Anipishe mie.

Na ndio sababu nikasema nyie mnaotufahamu ndio mtakaomuumbua.
Nyie mtuambie ukweli....... Mim nna wasiwasi na hilo povu.......kama hamkushea bwana basi mlimnyang'anya kabisa........

Cc: penny
 
Wanawake wa JF bhana...nimejamba comment 1 tu mmepoteana mpaka thread iko page ya 26 etc...sasa kuwakomesha nawafungulia thread masingo maza nyie...aki mtahamia YouTube🙂

Mnajiona prominent profiles kumbe mashangingi...kama ni uanamke na tabu zake kwa hapa JF naujua...ni nani kati yenu ameshawahi kuvunja rekodi ya account yangu moja tu ya @Husna_TheBossLady kwa attention, comments, pm nk?...halafu hapa mnataka kujifanya wabunifu na wenye majina ee

Msinichepue mtapoteana.
mshana jr Money Penny Joseverest Vladmir Putin
 
Me nikimwona mwanamke hana wowowoo na hana sura nzuri,yani hajajiremba na pia hana sauti nzuri,yani hana mapozi na sio mweupe HATA SIMSALIMII (sipotezi salamu yangu wala siumizi shingo yangu kugeuka kumwangalia,aende huko kwa wa type yake ila sio mimi.NASISITIZA " SIMSALIMIII"
 
Wanawake wa JF bhana...nimejamba comment 1 tu mmepoteana mpaka thread iko page ya 26 etc...sasa kuwakomesha nawafungulia thread masingo maza nyie...aki mtahamia YouTube🙂

Mnajiona prominent profiles kumbe mashangingi...kama ni uanamke na tabu zake kwa hapa JF naujua...ni nani kati yenu ameshawahi kuvunja rekodi ya account yangu moja tu ya @Husna_TheBossLady kwa attention, comments, pm nk?...halafu hapa mnataka kujifanya wabunifu na wenye majina ee

Msinichepue mtapoteana.
mshana jr Money Penny Joseverest Vladmir Putin
Ooh kumbe we husna yule?
 
Nimekumiss hadi naumwa

Kiarage kipo au kishanyofolewa na wasio jua kukinyonya hahahaha ila wewe

By the way seems wewe ni mzuri na sio mrembo au vipi?
Miss you too baby

Sijampa akinyonye naogopa kunyofolewa[emoji85]

Mimi sijui Niko wapi mrembo au mzuri hata thijui
 
Me nikimwona mwanamke hana wowowoo na hana sura nzuri,yani hajajiremba na pia hana sauti nzuri,yani hana mapozi na sio mweupe HATA SIMSALIMII (sipotezi salamu yangu wala siumizi shingo yangu kugeuka kumwangalia,aende huko kwa wa type yake ila sio mimi.NASISITIZA " SIMSALIMIII"
Dhambiii hiyo
 
Wanawake wa JF bhana...nimejamba comment 1 tu mmepoteana mpaka thread iko page ya 26 etc...sasa kuwakomesha nawafungulia thread masingo maza nyie...aki mtahamia YouTube🙂

Mnajiona prominent profiles kumbe mashangingi...kama ni uanamke na tabu zake kwa hapa JF naujua...ni nani kati yenu ameshawahi kuvunja rekodi ya account yangu moja tu ya @Husna_TheBossLady kwa attention, comments, pm nk?...halafu hapa mnataka kujifanya wabunifu na wenye majina ee

Msinichepue mtapoteana.
mshana jr Money Penny Joseverest Vladmir Putin
Khaa sasa unajuaje pm zetu
Yaan unajisifia kujivika kuwa mwanamke hii kali nayo,,uliwakubalia wangapi,,,tupe ubuyuu
Tutajie basi walokufata pm
 
Nyie mtuambie ukweli....... Mim nna wasiwasi na hilo povu.......kama hamkushea bwana basi mlimnyang'anya kabisa........

Cc: penny
Hahahaa. Wavulana wa siku hizi kwa Povu mbona kawaida yao.

Asikutishe yule mwaya kula ushibe.
 
Sky Eklat namkubali ni kichwa . mada zake zimetulia sana..(ni great thinker in the real sense. Mbitiyaza ana comment za ufahamu mkubwa .miss natafuta anasumbuliwa na kutafuta bado ila ana brain nzuri. Kapeace namkubali kwa ufahamu Wa jinsia take na kuitedea haki. Ila wanaume mkubali tu wanaochangia mada humu wengi ni mind za above average. Mabinti wengi akijaribu ni hawawezi tu. Sasa MTU anakosea hats spelling za kiswahili hapo kunua kitu kweli (sidhani=sizani ) gharama-=galama) ndiyo Wa mitaani wanavoandika (Jamii Forum) mabinti au Wa humu ni vichwa tusibishe.
Asante sana muyovozi asie na macho hataona
 
Back
Top Bottom