JF towards 2010 and Beyond: From Venting to Movement

JF towards 2010 and Beyond: From Venting to Movement

Nina imani kuwa ndani ya jukwaa la mijadala muhimu ya uendeshaji wa nchi kuna uwezekano mkubwa kuwa na wanaotarajia kuomba fursa kwa wananchi wenzao ya kuiongoza nchi yetu.Hivyo basi, naomba nifungue mjadala kwa wana JF wanaotarajia kushiriki kama wagombea katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 (wale walio tayari kuweka hadharani).
Je, unataka kugombea wapi?
Kwa chama gani?
Kwa dhumuni lipi kuu?
JF itegemee nini toka kwako iwapo utashinda?

Ni mimi mnyenyekevu,
Zemarcopolo.
 
Mkuu ina maanisha waki tamka nia yao watumia majina ya ID zao au majina yao halali?
 

- Mkulu Zeee, topic kama hii ilishawahi kufunguliwa na kama sikosei TZnjema, lakini hakuna aliyejitokeza sijui this time labda kwa vile ni wewe!

Respect.

FMEs!

Sasa kama wana JF wanaendeleza siasa za uwoga na mambo ya chinichini inakuwa sio mfano mzuri.
Mimi nitataja watu ninaofikiri kuwa watawania ubunge 2010.
1.Kitila Mkumbo.
2.Fisadi mtoto
3.Bubu Ataka Kusema
4.Geoff
5.FMES
6.Masanilo
7.AmaniGK
Hizi ni speculations, na naamini watu hao niliowataja wanaweza kuendesha kampeni kamilifu ndani ya Bongo, i mean ''field politics''.
 
Sasa kama wana JF wanaendeleza siasa za uwoga na mambo ya chinichini inakuwa sio mfano mzuri.
Mimi nitataja watu ninaofikiri kuwa watawania ubunge 2010.
1.Kitila Mkumbo.
2.Fisadi mtoto
3.Bubu Ataka Kusema
4.Geoff
5.FMES
6.Masanilo
7.AmaniGK
Hizi ni speculations, na naamini watu hao niliowataja wanaweza kuendesha kampeni kamilifu ndani ya Bongo, i mean ''field politics''.

Nafikiri mkuu ungewaachia wakajitaja wenyewe maana kama umewapa jukwaa halafu unawasemea tena naona kama haijakaa vizuri
 
Back
Top Bottom